Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Ukisoma thread zimejaa humu ni JK man alone,na aliposhindwa wanaambiwa ni wanaomwonea donge wanamrudisha nyuma.Mengine yaliyobaki ni CCM Imeshindwa na hadi sasa kwa hotuba za wana CCM,viongozi na wafuasi wao,wapambe na mamluki kila kitu ni JK.Logically JK kamaliza Muda wake na CCM haina cha kujivunia kuwa imefanya.Ila wana CCM kwa ujinga na upumbavu wanataka tulazimishia kusikiliz alogic ya kijinga.Kuwa JK ndie kafanya kila kitu na si CCM na ushahidi wanaotoa ni kwamba CCM ktk miaka 50 hawajafanya kitu ila JK alipokuja kafanya kila kitu.Halafu wana switch sides haraka na kutuambia tuendelee kuwa na CCM. Sasa ktk huu mtanange wa CCM /JK Jk ndie kashinda na anaondoka kwanini sasa wana CCM wafikiri,mchango wake urithishwe kwa mpinzani wake CCM.Ingawa dunia ya leo kila mchi inajengwa,hata somalia,hata Yemeni,na nchi nyingine nyingine zenye vita au zisizo na serikali.Hivi CCM iliyoshindwa na JK ktk aliyeisubiri itembee miaka zaidi ya 40 mbele na akaja ipita ktk miaka chini ya 10 tena kwa macho ya Wana CCM kweli inastahili kupewa tena muda?Naombeni msaada wenye akili timamu na wasio na hasira km mimi.