hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Leo nilikuwa naangalia bunge live kitu cha ajabu ambacho nimekiona ni kuwa kila mbunge wa chadema akitajwa kuongea matangazo yanazimwa
But wabunge wa CCM wakiongea matangazo yanakuwa hayana shida
Sasa nakuwa najiuliza point inakuwa ni nn sasa, au hawataki wananchi wasikie mawazo mbadala?
Naona kama hili jambo sio sawa ni jambo la Aibu
But wabunge wa CCM wakiongea matangazo yanakuwa hayana shida
Sasa nakuwa najiuliza point inakuwa ni nn sasa, au hawataki wananchi wasikie mawazo mbadala?
Naona kama hili jambo sio sawa ni jambo la Aibu