je bunge letu lilijisahau mpaka likapitisha sheria ya kulipia simcard kwa 1000/=kwa kila mtanzania?

Jul 12, 2013
6
0
Wantanzania tumeongezewa mzigo wa maisha kuwa magumu hasa kwa baba zangu wa vijijini ambao simu kwao ilionekana kuwa ni huduma nzuri ya mawasiliano sasa line zao watazilipia kwa mwezi kama sehem ya kuongeza pato la taifa.serikali ikasahau kwa makusudu kuwa wanchi bado maisha yao ni ya kubahatisha, huku rasimali za watanzani kama vile maziwa, mito, madini ya kila aina dhahabu,almasi,tanzanite, makaa ya mawe ,gas, nickel, vivutio vya utalii(mlima kilimanjaro mlima mrefu afrika),mbuga za wanyama Ngorongoro,Serengeti,mikumi, ruaha, tarangire n.k, tuna ardhi kubwa ya rutuba mfano mbeya, rukwa ,iringa ambapo ardhi nzuri wamepewa wawekezaji mfano mashamba ya mpunga, chai n.k je serikali haijaona hayo yote.
kulipia simcard ni adhabu nzito kwa mwananchi wa kawaida mfano kama mimi familia yangu tuna line tano kwenye familia kila line nitalipia 1000/=kwa mwezi,=jumla kwa mwezi ni shilingi 5000/=kwa ajili ya simcard tu,sijakatwa makato ya kod ya huduma za mpesa au airtel money. pia ninaishi kwenye nyumba ya kupanga ninalipia 20000/=kwa mwez hatujala bado na bei ya chakula ndio hivyo ni kubwa, bei ya pamba yangu ni 700//kg=haitoshi hatakulipia line moja .je serikari hii haioni hayo yote? tutafakari juu ya taifa letu ambalo halimpi samani mwananchi wa kawaida. kwa mtindo huu maisha bora kwa kila mtanzania ni ndoto ya kufikirika tu!!!!!!!!!!!
 
Ni serikali ya kipumbavu na utekelezaji wa sera za kipumbavu za magamba wala January Makamba asizuge huwezi pinga system wakati mwenyewe umo humo humo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wantanzania tumeongezewa mzigo wa maisha kuwa magumu hasa kwa baba zangu wa vijijini ambao simu kwao ilionekana kuwa ni huduma nzuri ya mawasiliano sasa line zao watazilipia kwa mwezi kama sehem ya kuongeza pato la taifa.serikali ikasahau kwa makusudu kuwa wanchi bado maisha yao ni ya kubahatisha, huku rasimali za watanzani kama vile maziwa, mito, madini ya kila aina dhahabu,almasi,tanzanite, makaa ya mawe ,gas, nickel, vivutio vya utalii(mlima kilimanjaro mlima mrefu afrika),mbuga za wanyama Ngorongoro,Serengeti,mikumi, ruaha, tarangire n.k, tuna ardhi kubwa ya rutuba mfano mbeya, rukwa ,iringa ambapo ardhi nzuri wamepewa wawekezaji mfano mashamba ya mpunga, chai n.k je serikali haijaona hayo yote.
kulipia simcard ni adhabu nzito kwa mwananchi wa kawaida mfano kama mimi familia yangu tuna line tano kwenye familia kila line nitalipia 1000/=kwa mwezi,=jumla kwa mwezi ni shilingi 5000/=kwa ajili ya simcard tu,sijakatwa makato ya kod ya huduma za mpesa au airtel money. pia ninaishi kwenye nyumba ya kupanga ninalipia 20000/=kwa mwez hatujala bado na bei ya chakula ndio hivyo ni kubwa, bei ya pamba yangu ni 700//kg=haitoshi hatakulipia line moja .je serikari hii haioni hayo yote? tutafakari juu ya taifa letu ambalo halimpi samani mwananchi wa kawaida. kwa mtindo huu maisha bora kwa kila mtanzania ni ndoto ya kufikirika tu!!!!!!!!!!!

What to expect kwa bunge lililojaa viti maalum na ushabiki kwa serikali?
 
ndo uwezo wao wa kufikiri.,
na aliyeileta hoja bungeni alishauriwa na mkewe na si wananchi waliomchagua
 
mmeichagua wenyewe msilalamike,ila kutenda kosa si kurudia kosa,harafu nitawashangaa kuona mnapewa kanga,kofia na pilau kwenye kampen,harafu baadaye mnakuja apa kulalamika tena mi nataman waongeze ata wakate kwa line 10,000 tsh kwa mwezi na kwa mwaka kila mtu atoe 120,000 tsh,na bado kila kitu kinapanda bei adi.
 
Tutaendelea kuwa wahanga wa matukio kama haya.
wabunge wameuchapa usingizini bungeni,
wanashtuka muda wa kusema NDIYOOOOOOOOOOOOOOOOOOO

unategemea nini hapo.
 
mmeichagua wenyewe
msilalamike,ila kutenda kosa si kurudia kosa,harafu nitawashangaa kuona
mnapewa kanga,kofia na pilau kwenye kampen,harafu baadaye mnakuja apa
kulalamika tena mi nataman waongeze ata wakate kwa line 10,000 tsh kwa
mwezi na kwa mwaka kila mtu atoe 120,000 tsh,na bado kila kitu kinapanda
bei adi.

tuache kulialia wakati "bus" tumelipanda wenyewe!
 
Wantanzania tumeongezewa mzigo wa maisha kuwa magumu hasa kwa baba zangu wa vijijini ambao simu kwao ilionekana kuwa ni huduma nzuri ya mawasiliano sasa line zao watazilipia kwa mwezi kama sehem ya kuongeza pato la taifa.serikali ikasahau kwa makusudu kuwa wanchi bado maisha yao ni ya kubahatisha, huku rasimali za watanzani kama vile maziwa, mito, madini ya kila aina dhahabu,almasi,tanzanite, makaa ya mawe ,gas, nickel, vivutio vya utalii(mlima kilimanjaro mlima mrefu afrika),mbuga za wanyama Ngorongoro,Serengeti,mikumi, ruaha, tarangire n.k, tuna ardhi kubwa ya rutuba mfano mbeya, rukwa ,iringa ambapo ardhi nzuri wamepewa wawekezaji mfano mashamba ya mpunga, chai n.k je serikali haijaona hayo yote.
kulipia simcard ni adhabu nzito kwa mwananchi wa kawaida mfano kama mimi familia yangu tuna line tano kwenye familia kila line nitalipia 1000/=kwa mwezi,=jumla kwa mwezi ni shilingi 5000/=kwa ajili ya simcard tu,sijakatwa makato ya kod ya huduma za mpesa au airtel money. pia ninaishi kwenye nyumba ya kupanga ninalipia 20000/=kwa mwez hatujala bado na bei ya chakula ndio hivyo ni kubwa, bei ya pamba yangu ni 700//kg=haitoshi hatakulipia line moja .je serikari hii haioni hayo yote? tutafakari juu ya taifa letu ambalo halimpi samani mwananchi wa kawaida. kwa mtindo huu maisha bora kwa kila mtanzania ni ndoto ya kufikirika tu!!!!!!!!!!!
Tatizo halipo kwenye kulipia tatizo ni namna gani hiyo kodi itadhibitiwa na kutumika kuteta maendeleo.. janga lipo hapo ndio maana tunakuwa wagumu wa kulipa kodi kwa sababu hatuoni matumizi yake kwa taifa....
 
Hivi ingekuwa hizi kodi zetu zinatumika katika kuleta maendeleo nani angelalamika?
Tunalamika maana ni kama unyonyaji kwetu raia kwa hizi kodi.
 
Tatizo wabongo wabishi na tunachelewa sana kuelimika, wee mpaka leo wapo watu wanaoamini kwamba Mungu amewapangia wao wawe maskini tu hapa duniani, na wanaamini pia familia za kinaLOWASA,KAWAWA,ROSTAM,SITTA,MENGI,BAKHRESSA,KINANA na familia nyingi zenye majina kama haya ndio zimebarikiwa!! HAPANA! Watanzania tunatumia ubongo sana kuhakikisha maisha yetu yanasonga ila mifumo tu ya WATAWALA ndio inayokwamisha maendeleo yetu!! Mtu ukijitahidi kidogo kuinuka kesho unaskia mafuta ya taa yamepanda bei kwa sababu ya kitooto kabisa! Ukinunua hivyohivyo unaskia line ya simu buku kwa mwezi!! Wakati huohuo gharama zingine kwa ujumla kimaisha zinapandabila sababu ya msingi ilia mradi tu mimi na wewe tukwame tu! Na wfanikiwe kina January Makamba! Kina Ridhiwani na familia zingine kama hizo!! SASA CHA MSINGI wabongo sasa tusishangae, ukipata fursa na wewe PIGA TU! yaani IBA TU, ukizubaa utakufa maskini alafu uanze kumpakazia MUNGU eti kakuumba uwe MASKINI!! HONGERA MAsogange ulikuwa unasavaiv maisha yako.
 
Back
Top Bottom