Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,214
- 3,587
Barabara za chini zinaitwa barabara ya Morogoro, Sam Nujoma na Mandela.
Barabara za kati zinaitwa Kijazi Interchange.
Je, barabara ya juu (Mwenge - Bandarini) inaitwaje?
Wadau muhoji hili.
Barabara za kati zinaitwa Kijazi Interchange.
Je, barabara ya juu (Mwenge - Bandarini) inaitwaje?
Wadau muhoji hili.