njia mojawapo ya kupata maambukizi ya vvu ni kufanya mapenzi bila kinga na mtu ambaye tayari ameshaambukizwa!
hayo mambo ya sijui michubuko,goli moja,kuoga baada ya tendo ni upungufu wa matumizi ya akili!
njia mojawapo ya kupata maambukizi ya vvu ni kufanya mapenzi bila kinga na mtu ambaye tayari ameshaambukizwa!
hayo mambo ya sijui michubuko,goli moja,kuoga baada ya tendo ni upungufu wa matumizi ya akili!
...mm ni ME,nimekutana na msichana bahati nzuri pakawa ni faragha...(mimi na yeye tu)...tukajikuta tumechezeana takribani 30min...wote hoi! kidume nikashindwa kuvumilia...nikachomeka mambo kavkav!...ofcoz sikukawia...shampeni ikafunguka na kumwagika!...sasa nikaanza kuwaza,je kama yule mtu ana ngoma naweza kupata?
NB: sina kidonda wala mchubuko katika uume wangu!
...hapana, ....endelea tu moja, moja, moja,....utajiepusha nao.