Je, Balozi Kipilimba ni mzalendo?

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,609
8,753
images

images



Lissu kasema bila kupingwa kwamba kikosi kazi cha kumpiga risasi yeye, kutunga kesi, utekaji wote mpaka wa Dewji umefanywa chini ya maelekezo na usamamizi wa mtu mmoja ambaye ni Balozi Kipilimba. Hajawahi kutoka hata siku mmoja kukana chochote maana ni ukweli mtupu.

Kuna wanaofikiria alikuwa mazalendo na kufuata au kunusa hasira za Raisi bosi wake hivyo hana hatia. Wengine wanasema huwezi kufanya mauaji kwa niaba ya mtu yeyote unatakiwa kufuata katiba. Je leo hii ikigundulika kama wanavyodai anaweza kufunguliwa mashitaka? Na je huyu ni mzalendo au muuaji? Na Je aliapa kwa katiba au Raisi ?

Mimi kwa mawazo yangu na kumjua Magufuli kama kiongozi na kama familia siamini kama alimtuma huyu balozi kuuwa mtu yeyote lakini Magufuli anakuwa na hasira na anaweza kuongea vitu vya kutisha lakini siamini kama anaweza kumpigia simu na kutoa maelekezo kutoka kwenye kinywa chake kwamba fulani apigwe risasi hili ni gumu kuamini. Lakini Magufuli huyo huyo anaweza kuwasamahe na kusema tuko vitani na hawa ni kama wanajeshi wa taifa na hata ingilia kazi yao. Magufuli alikuwa na double personality.
 
Lisu kaisha waacha solemba wanachama wa Chadema. 85% hawana tena hamu nae na hawataki tena kuongelea habari zake.

Nashangaa mleta mada umepataje ujasiri leo wakuja kumzungumzia mtu aliekikimbia chama chake mwenyewe.

Lisu amekimbia nchi huku Magufuli na Kapilimba wakiwa hawapo madarakani.
 
Lisu kaisha waacha solemba wanachama wa Chadema. 85% hawana tena hamu nae na hawataki tena kuongelea habari zake.

Nashangaa mleta mada umepataje ujasiri leo wakuja kumzungumzia mtu aliekikimbia chama chake mwenyewe.

Lisu amekimbia nchi huku Magufuli na Kapilimba wakiwa hawapo madarakani.


Sio wote waliotekwa na kuuliwa ni lissu pekee kuna waandishi wa habari na wanaharakati hata wafanyabiashara. Jiulize kesi ya wale jamaa wa Mo Dewji wako wapi?
 
images

images



Lissu kasema bila kupingwa kwamba kikosi kazi cha kumpiga risasi yeye, kutunga kesi, utekaji wote mpaka wa Dewji umefanywa chini ya maelekezo na usamamizi wa mtu mmoja ambaye ni Balozi Kipilimba. Hajawahi kutoka hata siku mmoja kukana chochote maana ni ukweli mtupu.

Kuna wanaofikiria alikuwa mazalendo na kufuata au kunusa hasira za Raisi bosi wake hivyo hana hatia. Wengine wanasema huwezi kufanya mauaji kwa niaba ya mtu yeyote unatakiwa kufuata katiba. Je leo hii ikigundulika kama wanavyodai anaweza kufunguliwa mashitaka? Na je huyu ni mzalendo au muuaji? Na Je aliapa kwa katiba au Raisi ?

Mimi kwa mawazo yangu na kumjua Magufuli kama kiongozi na kama familia siamini kama alimtuma huyu balozi kuuwa mtu yeyote lakini Magufuli anakuwa na hasira na anaweza kuongea vitu vya kutisha lakini siamini kama anaweza kumpigia simu na kutoa maelekezo kutoka kwenye kinywa chake kwamba fulani apigwe risasi hili ni gumu kuamini. Lakini Magufuli huyo huyo anaweza kuwasamahe na kusema tuko vitani na hawa ni kama wanajeshi wa taifa na hata ingilia kazi yao. Magufuli alikuwa na double personality.
Heeeee
 
images

images



Lissu kasema bila kupingwa kwamba kikosi kazi cha kumpiga risasi yeye, kutunga kesi, utekaji wote mpaka wa Dewji umefanywa chini ya maelekezo na usamamizi wa mtu mmoja ambaye ni Balozi Kipilimba. Hajawahi kutoka hata siku mmoja kukana chochote maana ni ukweli mtupu.

Kuna wanaofikiria alikuwa mazalendo na kufuata au kunusa hasira za Raisi bosi wake hivyo hana hatia. Wengine wanasema huwezi kufanya mauaji kwa niaba ya mtu yeyote unatakiwa kufuata katiba. Je leo hii ikigundulika kama wanavyodai anaweza kufunguliwa mashitaka? Na je huyu ni mzalendo au muuaji? Na Je aliapa kwa katiba au Raisi ?

Mimi kwa mawazo yangu na kumjua Magufuli kama kiongozi na kama familia siamini kama alimtuma huyu balozi kuuwa mtu yeyote lakini Magufuli anakuwa na hasira na anaweza kuongea vitu vya kutisha lakini siamini kama anaweza kumpigia simu na kutoa maelekezo kutoka kwenye kinywa chake kwamba fulani apigwe risasi hili ni gumu kuamini. Lakini Magufuli huyo huyo anaweza kuwasamahe na kusema tuko vitani na hawa ni kama wanajeshi wa taifa na hata ingilia kazi yao. Magufuli alikuwa na double personality.
Mnafukua makaburi.
 
Kwani Lissu yeye ni Yesu?

kwamba kila asemalo ni la ukweli 100%?

Na kama anao ushahidi,ni kwa nini asimpatie mwanasheria wake, Robert Amsterdam,ili awapeleke the Hague,kule Uholanzi ICJ?

Mtu aliyejeruhiwa anakuwa amerukwa akili hivyo hata Lissu,tufike mahali,kutokana na anavyotuhumu bila ushahidi?
Tumchukulie hivyo!

Kila siku humu,mnachafua majina ya watu,na familia zao!

Lissu...Lissu Lissu!

Mfike mahali mjidharau na nyinyi!
Kuna wengi wameumia nchi hii.sio huyo Lissu wenu wa Chadema pekee!

Na kupigwa Risasi isiwe kigezo cha kuwa mkweli au muadilifu!
Au kuwa ndio testimony ya kuupata uraisi.

Tumchukulie Lissu, kama majeruhi wa risasi aliechanganyikiwa....

Yaani kwamba,huenda Dish lake limetingishika kidogo,huenda ndio maana anarudi rudi kwa Daktari mara kwa mara!

Chadema Lissu ni kama Nabii au??
FB_IMG_1676843695282.jpg


Acheni Uzwazwa...tumewachoka sasa!
 
Hivi ile sheria yao haiwapi kinga kweli?? Maana wanasema wao katika kutekeleza majukumu yao ya kizalendo yaliyotukuka kabisa wanaweza hata kujikuta wanalazimika kuvunja sheria mbili tatu ili kuhakikisha usalama wa nailiu hauteteleki.
 
Kwani Lissu yeye ni Yesu?

kwamba kila asemalo ni la ukweli 100%?

Na kama anao ushahidi,ni kwa nini asimpatie mwanasheria wake, Robert Amsterdam,ili awapeleke the Hague,kule Uholanzi ICJ?

Mtu aliyejeruhiwa anakuwa amerukwa akili hivyo hata Lissu,tufike mahali,kutokana na anavyotuhumu bila ushahidi?
Tumchukulie hivyo!

Kila siku humu,mnachafua majina ya watu,na familia zao!

Lissu...Lissu Lissu!

Mfike mahali mjidharau na nyinyi!
Kuna wengi wameumia nchi hii.sio huyo Lissu wenu wa Chadema pekee!

Na kupigwa Risasi isiwe kigezo cha kuwa mkweli au muadilifu!
Au kuwa ndio testimony ya kuupata uraisi.

Tumchukulie Lissu, kama majeruhi wa risasi aliechanganyikiwa....

Yaani kwamba,huenda Dish lake limetingishika kidogo,huenda ndio maana anarudi rudi kwa Daktari mara kwa mara!

Chadema Lissu ni kama Nabii au??View attachment 2525654

Acheni Uzwazwa...tumewachoka sasa!
 
Hio katiba alio apa nayo ndio ndani yake kuna takwa la kumheshimu na kumtii rais wa jamuhuri.

Lakini achaneni na propaganda za lisu, yeye ashukuru Mungu yu mzima sasa.

Ikumbukwe pia modestus ni mchungaji.
Mchungaji mzandiki na muongo ni hatari kwa kondoo wa Mungu .

Labda kwa kukukumbusha ni kwamba , Kapilimba na Majaliwa ndio waliosambaza uongo kwamba Magufuli ni mzima na anachapa kazi .

Unadhani walisukumwa na nini ? huyu ndio mchungaji wa kumuamini ?
 
Mchungaji mzandiki na muongo ni hatari kwa kondoo wa Mungu .

Labda kwa kukukumbusha ni kwamba , Kapilimba na Majaliwa ndio waliosambaza uongo kwamba Magufuli ni mzima na anachapa kazi .

Unadhani walisukumwa na nini ? huyu ndio mchungaji wa kumuamini ?
Uongo na unafiki ni sifa za kila mtanzania. Sasa ni chaguo lako kukubaliana na uongo wa mtu au kiongozi gani.

Kuanzia 2008 hadi 2014 hao jamaa (pichani) walitumia ujinga wa baadhi ya watanzania kuwadanganya habari za uongo kuhusu Lowasa.

Lakini Mungu sio Athuman, sio Mbowe wala Moses mwaka 2015 ukadhihirika uongo wao kupitia vinywa vyao wenyewe tena bila kuwaomba radhi watanzania kuhusu uongo ule wa Lowasa fisadi.

Hao jamaa pamoja na kuonesha kwamba wanatumia siasa za uongo kuwalaghai watanzania wajinga lkn mpaka leo bado wana chawa wao wanaowafuata na kuwasikiliza kila wanalosema mmoja wao ukiwa ni wewe.
Mwaka 2015 ndio mwaka niliokuja kuona kwamba Lisu ni mchumia tumbo tu kama ilivyo wachumia tumbo wengine. Hana ujanja wowote wa kusimamia anachokiamini.
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    27.8 KB · Views: 1
  • download.jpeg
    download.jpeg
    10.7 KB · Views: 1
  • images (31).jpeg
    images (31).jpeg
    18.6 KB · Views: 1

Similar Discussions

Back
Top Bottom