Je, atanielewa kwa hili?

Je, atanielewa kwa hili?

Habari wakuu,

Nahitaji msaada wakuu kuna sister nilkuwa nimezoeana nae kama dada yangu ila kwa sasa moyo wangu umempenda yeye na ninahitaji kuanzisha mahusiano nae ili tuweze fika katika malengo mengi

Sasa kilichonileta hapa nashindwa mara nyingi kumwambia ukweli kwa kuwa amekuwa akinichukulia rafiki wa kawaida tu.
Avataer yako inaweza leta matatizo,yaani inaonekana ya kike,sasa sijui wewe ni SHE au HE?.
 
Habari wakuu,

Nahitaji msaada wakuu kuna sister nilkuwa nimezoeana nae kama dada yangu ila kwa sasa moyo wangu umempenda yeye na ninahitaji kuanzisha mahusiano nae ili tuweze fika katika malengo mengi

Sasa kilichonileta hapa nashindwa mara nyingi kumwambia ukweli kwa kuwa amekuwa akinichukulia rafiki wa kawaida tu.
mkuu mueleze tu
 
Rafiki anatongozwa kwa utani. Akikataa, ulikuwa unamtania, akikubali, shega.
Hii ilishawahi kunisaidia. Kuna mrembo mmoja tulikuwa tunafanya naye kazi. Alikuwa mzuri balaa naona jamaa ofisini wanahangaika sana namna ya kumpata. Naye alivyojuwa anawindwa sana akawa ananata hatari. Mi ndo nikawa rafiki yake. Akawa anasema mi ndo mshikaji wake wa kweli maana sifanani na hao wengine. Mi kila siku nikawa namtaniatania tu. Siku isiyo na jina, tukajikuta tunataniana wakati wa half time kwenye Fundi Seremala Stadium.
 
Habari wakuu,

Nahitaji msaada wakuu kuna sister nilkuwa nimezoeana nae kama dada yangu ila kwa sasa moyo wangu umempenda yeye na ninahitaji kuanzisha mahusiano nae ili tuweze fika katika malengo mengi

Sasa kilichonileta hapa nashindwa mara nyingi kumwambia ukweli kwa kuwa amekuwa akinichukulia rafiki wa kawaida tu.
Acha utoto.
 
Back
Top Bottom