Je atachaguliwa TCU Second Round?

Je atachaguliwa TCU Second Round?

tuamini first selection haikukamilika so second inaweza kuwa fresh tu tusijali vyuo vipo ingawa kwa kozi za afya kazi ipoo
 
kuna dadaangu kasoma pale anasema chuo si kizuri kwa kweli na inaweza kuwa sababu ya wengi kuto kukichagua
Degree ni degree tu, usisikie la kuambiwa mpaka uone mwenyewe, hata vyuo visivyo na majina huwa vina wakali wao wenye nondo sawa na vyuo vingine hivyo huenda ukawa wewe. Hata hivyo ambavyo ni vizur pia huwa vina wachache ambao sio competent enough pia unaweza ukawa wewe. Kikubwa ni ukipata chuo so long TCU wamekipitisha unachotakiwa ni kukomaa na kama ni assignment unafanya mwenyewe na matunda utayaona
 
Degree ni degree tu, usisikie la kuambiwa mpaka uone mwenyewe, hata vyuo visivyo na majina huwa vina wakali wao wenye nondo sawa na vyuo vingine hivyo huenda ukawa wewe. Hata hivyo ambavyo ni vizur pia huwa vina wachache ambao sio competent enough pia unaweza ukawa wewe. Kikubwa ni ukipata chuo so long TCU wamekipitisha unachotakiwa ni kukomaa na kama ni assignment unafanya mwenyewe na matunda utayaona
ahsante kk Jf inahitaj watu kama ww..... ahsante kwa kunipa hasira ya kupambana
 
ahsante kk Jf inahitaj watu kama ww..... ahsante kwa kunipa hasira ya kupambana
Omba chuo chochote mkuu then baada ya tcu kumaliza mchakato huwa wanatoa muda kufanya transfer kwenda chuo chengine ilimrad tu uwe ulipata chuo awali na chuo unachotaka kwenda na course husika iwe na nafasi couz kuna watu pamoja na kuchaguliwa huwa hawalipoti vyuoni kwa sababu zao binafsi xo hiyo nayo hutumika kama chance ya kuhama chuo
 
Kwa Ushauri Tu MZUMBE NA UDOM iondoshe Katika Machaguo Kwani COMPETITION ni Kubwa Kwa Waliokosa 1st Round! Na Jaza Vyuo Vengine!
Nimekupa Ushauri Huu Kwasababu Sipendi Kukuona Unakuja Tena Kutafuta Ushauri Wa chuo cha DIPLOMA
Mkuu umeona mbali mno
 
Omba chuo chochote mkuu then baada ya tcu kumaliza mchakato huwa wanatoa muda kufanya transfer kwenda chuo chengine ilimrad tu uwe ulipata chuo awali na chuo unachotaka kwenda na course husika iwe na nafasi couz kuna watu pamoja na kuchaguliwa huwa hawalipoti vyuoni kwa sababu zao binafsi xo hiyo nayo hutumika kama chance ya kuhama chuo
ahsante sana kk nmekupata
 
View attachment 399799hapo kweli wakuu nitapata second round nina two ya 12

Utapata KIU.
Na sababu ya Kupata KIU si Kwamba Kwasababu "Remaining Capacity" Yake Ni Kubwa!! Hapana! Sababu Ya Kupata KIU ni Kwamba Kile Chuo "Ada Zake" zipo juu Sana Kwahiyo Watu Masikini Wengi Kama mimi Huwa Tunakikwepa Hatukichagui Na Tunakula Kwa Macho tu pale
 
Wapendwa hivi social sciences nazo competition ni kali sana vyuo kama udom?
 
Back
Top Bottom