Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,207
- 3,604
Naongelea kitu kama hiki yan unaweka Gar On then unawasha AC je hapa mafuta yanatumika?
Uki start gari najua yanatumika je ukiweka tu on bila kustart gar mafuta yanatumika?View attachment 1541269View attachment 1541268
kwani gari ikiwa silence haitumii mafuta?!
inatumia mafuta japo kidogo sababu haiko kwenye gia so haina mzigo
inapokua silence ukawasha AC unaongeza mzigo wa kusukuma compressor na mfumo mzima wa AC unatumia nguvu ya engine,ndio maana consumption ya mafuta pia inaongezeka
so ukiwasha AC unaongeza matumizi ya mafuta hataa gari ikiwa kwenye silence
