Jenerali QoyoJB
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 304
- 160
Atafilisika, asione mchezo, hajui hata bei yake achilia mbali gaharama za kuendesha, posho ya rubani kwa siku ni mshahara wa wanenguaje wake kwa mwezi.
jamani anaweza bei zake akikaza sanaa....na kupagawa anaaweza....What is the price of a used DASH 8 100 aircraft?
Approximately 6.5M-8M dollars
What is the price of a used DASH 8 100 aircraft?
Approximately 6.5M-8M dollars
anaweza..............awe na lengo na saving kufa mtu.........
We naninani sijui, jina lako gumu....Ninachokwambia ni kwamba shida ya ndege si kuinunua kaka...Ni kui'sustain, kwisha....Haifai hiyo kitu, tuzioneni tu angani zinapita kama vishada!...Labda huyu dada aongelee ndege ndogo kabisa kama Cessna 182, au Cessna 150, ya abiria wa3, lakini si kitu kama DHC8, hii ni kifo cha ghafla!...Kwa hiyo dash8, kila mtuo mmoja tu(landing) kwenye njia ya kurukia haipungui tshs90,000/=(kwa hapa Tanzania).Bado fuels, parking fees, mantainance, salariesto pilots &ground staff, allowances, insurance, inspection by regulatory body, ground handling, na mavitu kibao, yote katika dollar!...Ni kimbembe ati!
Come what may, huyu dada hatafikia huko...hivi vitu vingine wala si vya kukwepesha!...labda apewe na mzungu, ambapo nayo hatadumu nayo hata mwaka, maana atatamani kuuza watoto (kama anao).
Iam talking through long xperience, sijawahi kuongea naye, so i dont hate her in any way.
Kama ana hela za hivyo na anunue ma'vogue hata 10, not a ndege-stuff... Ni mtazamo tu!
Ni kweli kila kitu ni malengo tu. Lakini malengo hayo lazima yawe yanatekelezeka.sio malengo ya kufikirika. Pengine anataka kununua UNGOLakini wakuu shida iko wapi? kila kitu ni malengo, kwani hao wenye kumiliki ma G500 waliziokota si walinunua? kama wao waliweza kwa nini yeye asiweze? waswahili bwana binti wa watu anajitahidi sana kwa nini msimsifie kwani ndege kitu gani bwana, aah mkatae mkubali huyu binti yuko juu na tunamuombea mafanikio zaidi ya hapo alipofika, Jide kaza buti mama utaweza kununua hata boeing sembuse Dash 8, kila kitu bidii usiwaangalie mahaters
jamani anaweza bei zake akikaza sanaa....na kupagawa anaaweza....What is the price of a used DASH 8 100 aircraft?
Approximately 6.5M-8M dollars
What is the price of a used DASH 8 100 aircraft?
Approximately 6.5M-8M dollars
anaweza..............awe na lengo na saving kufa mtu.........
MALENGO (yawe ya muda wowote.......mfupi au mrefu)Katika maisha kuna malengo ya muda mfupi na malengo ya muda mrefu. Pengine hayo ni malengo yake ya muda mrefu na tusimkatishe mtu tamaa kwa yale anayotaka kuyafanya. Mimi ninaona ni malengo mazuri tena sana kwa msanii kama yeye kuwa na hayo malengo (ni mfano wa kuigwa). Kuzaa au kutozaa ni neema ya Mwenyezi Mungu.
ndio kazi yako kumeza data za watu!Form Four Zanaki
I beg to differ........HATUSHAMBULIANI........ BALI TUNAWEKANA SAWA....... KUHESHIMU MAWAZO YA WATU HAIMAANISHI KUWA LAZIMA UKUBALIANE NA ANACHOKISEMA MTU HUYO........ HATA KUPINGANA NA MAWAZO HAYO KUNAWEZA KUWA NA MAANA YA KUYAHESHIMU......... IT ONLY DEPENDS ON HOW YOU PRESENT YOUR MTAZAMO......tusigeuze blog kama sehemu ya kushambuliana ni vema tukaheshimu mawazo ya watu,wasiwasi wangu ugonjwa wa kukosa uzaendo unatutafuna mbona baadhi ya wa tanzania wanazo ndege itakuwaje ashindwe JD?
kwani yaliyosemwa na baadhi ya wana jf we yanakuhusu nini....... Hata wakimchangia kwenye ununuzi wa hiyo ndege ni wao......!!!!suala la jaydee kununua ndege linawahusu nini,anunue hata kisiwa ni cha kwake,
Asifanye mchezo, huyu, hataweza...Ndege si kama Machozi Band, ambayo unaweza kuiendesha kwa kuwakopa wapigaji..huh!
Lau angejua gharama ambazo ndege inakula asingetamka hilo, labda kwa kujifurahisha tu.