Jay Z amekuwa mwanamuziki wa kwanza bilionea

Jay Z amekuwa mwanamuziki wa kwanza bilionea

Joined
Feb 16, 2019
Posts
75
Reaction score
53
Siku zote mtu uanza kwa kupima bila kujali atafanikisha au la ongera mr Carter kwa kufika apo ulipo unastahili ongera yani mziki umekufanya uwe tajiri akika ww icon wa mziki
allthingsjayz_20190603114209.jpeg
FB_IMG_1559577081872.jpeg
 
acha dola iitwe dola.
Kwa hela alizonazo angekuwa Tanzania si angekuwa bilionea kitambo
 
Mungu wake ni lusifa lazima awe juu, ila tabu anazopata ni afadhali ya matonya
Dini inawavuruga sana, kama Lucifer anafanya mtu awe bilionea basi huyo ndiyo mungu anayefaa sio huyu anayewaletea njaa daily. Dini nuksi tupu, hizi story aliyewaletea aliwaharibu sana, mtu anafanya kazi kwa bidii kila siku unasema anaabudu shetani, badala ya uige hiyo bidii unakaa kwenda kuomba, hehehe utainama kuomba hadi unakufa na njaa. Hua mna kimsemo cha kijinga ati siku ya kubarikiwa kwako inakuja, endeleeni kuisubiri hadi mnazeeka.
 
ni kweli jamaa ni MASTER MASON (ana Degree tatu za Freemason
Dah, Mkuu umeandika kwa ujasiri kabisa kana kwamba una ushahidi wa hayo unayosema, ingekuwa ni rahisi hivyo si kila mtu angekuwa bilionea. Amini kufanikiwa kupo ukifanya kazi kwa juhudi na hakuna lisilowezekana chini ya jua.
 
Back
Top Bottom