frankgalos
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 223
- 100
- Thread starter
-
- #41
basi sawaMkuu niliisoma Java yote vizuri hamu yangu imekuwa kutengeza apps zangu.
Kwa bahati mbaya sikupata muda na C++ ambayo nilielewa ndiyo ingeweza apps zangu.
Ninazo resources nyingi za Java za rmit. Kamchina kangu hakinipi kutuma pm naomba nipm tuwsiliane.
Bado hakija sambazwa soon itakipataKitabu hiki nakipata wapi?
Kikitoka unishilikishe mdau nichukueBado hakija sambazwa soon itakipata
Ntakushirikisha usijariKikitoka unishilikishe mdau nichukue
Duh! Kwa uandishi huu ndio unafikiria na kuandika kitabu? Labda cha chekechea.... Uchore na mabata mabata wtoto wafurahie...Mwaka huu nime balikiwa na mawazo mengi ambayo yamefanya kichwachangu kuvurugika nikifikiria ni jinsi gani naweza kuisaidia jamii yangu kiujumla. Ndipo nikaja na wazo hili la kuandika kitabu.
Lengo la kuandika hiki kitabu nikwasababu watu wengi wanapenda kufanya au kutengeneza program za kwao nasio kutumia source code za wengine sema wanashindwa kwasababu elimu waliokua nayo juu ya hiko kitu wanacho kitengeneza ni ndogo kwaiyo kuwa nauwezowakuelewa na unachokifanya ndipo unapokuja kutengeneza chakwako.
Hiki kitabu kimeandikwa kwa lugha ya kiswahili kabisa na pia kitakua laisi sana kwa msomaji kwani javascript ni raisi kuisoma na kuielewa.
Natumaini kikiisha ntapata marafiki wengi ambao wanapenda sana keyboard kuliko kulala.
Kwaiyo kama unapenda kuongeza ujuzi au kujua javascript karibu kwani elimu hainaga mpaka hii ni kwa watu wote waliokua interested na programing in javascript.
View attachment 490436
Kwani tatzo Iipo wapi?? Kweny intro ya kitabu au intro ya humu JF pia Asante kwa ushaur wako. Ntaufanyia kaz.Duh! Kwa uandishi huu ndio unafikiria na kuandika kitabu? Labda cha chekechea.... Uchore na mabata mabata wtoto wafurahie...
The information you write is so basic... Its so basic such that its not a newsworth... May be kwa sababu ni intro... Me nikategemea ningekutana na ma code ya JAVA script ya kufa mtu...Kwani tatzo Iipo wapi?? Kweny intro ya kitabu au intro ya humu JF pia Asante kwa ushaur wako. Ntaufanyia kaz.
Nashukuru kwa kutoa Maoni mazuri, Ila ingawa baadhi Maoni Yao yako negative Ila mimi naendelea kuandika Kwani lengo kumfanya mtu kuelewa maana ya hii ki2 jap kutakua na baadhi ya makosa kuhusu matumizi ya kiswahili Lakin natumaini wengi wenye nia ya Kujua hawatojari.Naona watu hawapendi kuona kazi za wengine nilitegemea kwa anayejaribu kufanya aungwe mkono, ikiwezekana hata msaada wenu mnaodhani atashidwa kuandika mungane nae ili kusaidia kufikia malengo. Si kila mtu atasoma awe developer kuna matumizi nnje ya udeveloper please. Sio kila anaekwenda shule anafaulu.
Labda ujasoma vizuri, Lakin utambulisho huu ni kwaajiri ya uwandaaji wa kitabu ambacho bado hakijaisha bdo, kwaiyo lengo la kufungua hili jukwaa nikujua wangapi watakua na uwezo wa kupakua na kusoma hiki kitabu.The information you write is so basic... Its so basic such that its not a newsworth... May be kwa sababu ni intro... Me nikategemea ningekutana na ma code ya JAVA script ya kufa mtu...
Pamoja sana mkuuHii ni typing error pia nitoe shukrani zangu za dhati kwani wew pekyako ndo ulioweza kugundua kama kuna hili tatizo, asante sana na ntarifanyia kazi.
nakitaka hichi kitabu...inakuwaje hebu nipe mchakatoMwaka huu nime balikiwa na mawazo mengi ambayo yamefanya kichwachangu kuvurugika nikifikiria ni jinsi gani naweza kuisaidia jamii yangu kiujumla. Ndipo nikaja na wazo hili la kuandika kitabu.
Lengo la kuandika hiki kitabu nikwasababu watu wengi wanapenda kufanya au kutengeneza program za kwao nasio kutumia source code za wengine sema wanashindwa kwasababu elimu waliokua nayo juu ya hiko kitu wanacho kitengeneza ni ndogo kwaiyo kuwa nauwezowakuelewa na unachokifanya ndipo unapokuja kutengeneza chakwako.
Hiki kitabu kimeandikwa kwa lugha ya kiswahili kabisa na pia kitakua laisi sana kwa msomaji kwani javascript ni raisi kuisoma na kuielewa.
Natumaini kikiisha ntapata marafiki wengi ambao wanapenda sana keyboard kuliko kulala.
Kwaiyo kama unapenda kuongeza ujuzi au kujua javascript karibu kwani elimu hainaga mpaka hii ni kwa watu wote waliokua interested na programing in javascript.
View attachment 490436
Programming kwangu imekaa kushoto kabisa....
Huwa najaribu kupitia pitia Java, Javascript, PHP, Python na C/C++ lakini waapi....
Mimi niko nduki sana kwenye issues za IP... Nakimbiza balaa....
VLAN, VPN, MPLS/VPN, DNS, DHCP, Firewall, MGW, UGW, HLR, HSS, OCS, GGSN, SGSN...
Ebanaeee niko fiti....
kitabu bado hakija isha lengo la kufungua hii thread mampema ni kujua kama ntakua nawatu wengi watakao pakua hiki kitabu au ndo muda wangu ntakua nimeupoteza bure. but very soon kitaisha na hili ndo jukwaa lake.
Sawa nimekupata maana limekua tatzo sanaMkuu usisahau kuhariri kitabu chako,unachanganya "L" na "R"
Mwaka huu nime balikiwa na mawazo mengi ambayo yamefanya kichwachangu kuvurugika nikifikiria ni jinsi gani naweza kuisaidia jamii yangu kiujumla. Ndipo nikaja na wazo hili la kuandika kitabu.
Lengo la kuandika hiki kitabu nikwasababu watu wengi wanapenda kufanya au kutengeneza program za kwao nasio kutumia source code za wengine sema wanashindwa kwasababu elimu waliokua nayo juu ya hiko kitu wanacho kitengeneza ni ndogo kwaiyo kuwa nauwezowakuelewa na unachokifanya ndipo unapokuja kutengeneza chakwako.
Hiki kitabu kimeandikwa kwa lugha ya kiswahili kabisa na pia kitakua laisi sana kwa msomaji kwani javascript ni raisi kuisoma na kuielewa.
Natumaini kikiisha ntapata marafiki wengi ambao wanapenda sana keyboard kuliko kulala.
Kwaiyo kama unapenda kuongeza ujuzi au kujua javascript karibu kwani elimu hainaga mpaka hii ni kwa watu wote waliokua interested na programing in javascript.
Hongera mkuu, kwa kujaribu.
Lakini kwa huu uandishi wako kuna nakosa mengi sana ya maneno, hivyo hunabudi kufanya uhariri mkubwa sana kabla kuchapisha na ku upload hicho kitabu chako.
View attachment 490436
Kujua maana ya kit kwa lugha yako inakupa ulaisi wa kukuielewa, so hiki kitabu kinamfundisha mtu kuelewa zaidi na sio kua maana ya vitu husika vitapotea hapana. Hataivo error message inaweza kuwa printed kwa kiswahili. Na syntax zikabak kama zilivo. Tz alafu sio kila mtu anaependa teknologia anajua kiiengeleza, so itakua laisi kwake hatakujua kwamba kila kitu ki na wezekana. Hope ntakua mimetoa hiko kikwazo kwake.
Hapo Sawa, so mtu anatoa Maoni Bila vivid evidenceHata huo mfano wa hicho kitabu hapo kwenye box tayari makosa ni mengi.
Tafadhali jifunze tena na tena Lugha ya Kiswahili.