Java: Utangulizi ! || SEHEMU 1

Java: Utangulizi ! || SEHEMU 1

mimi nilihangaika sana Ndio maana nafundisha , Hapakuwepo Content nyingi za Kitanzania , Sitaki Wengine Wahangaike kama mimi , yoyote anaye taka huwa namfundisha kutokana na yeye na chochote ninacho fahamu
Nakukaribisha kwenye site yangu bonyeza hapa
 
Hapa unatuogofya
Mwanzo nimekimbilia uzi nikijua kuna transparency
Ma Hacker ni watu wanao tegemea sana taarifa , Unapotoa ni namna gani umetengeneza mfumo unampa uwezo mzuri wa kukushughulikia , hata kama sio leo , Hii Hii Reply yangu hata kama sio leo akipata taarifa za namna hii inamsaidia sana ,,,,, kama unavyo fahamu vitu vina long last kwenye internet....
 
Back
Top Bottom