Java: Utangulizi ! || SEHEMU 1

Java: Utangulizi ! || SEHEMU 1

Unakuta nyumba , inajengwa unaanza kukosoa Inamuunekano mbaya hujui itakuwaje ikiisha si kukosa , baadhi ya vitu, Kuna mahali umekuta natangaza hiyo Product???
Boss endelea kutoa elimu tafadhali.. ni hasara sana kuendelea kubishana na watu ambao hawawezi kuandika mstari hata mmoja wa java.. Nimefurahi sana kusoma andiko lako. Twende mbele, achana na hao ma distractors
Capital
 
Boss endelea kutoa elimu tafadhali.. ni hasara sana kuendelea kubishana na watu ambao hawawezi kuandika mstari hata mmoja wa java.. Nimefurahi sana kusoma andiko lako. Twende mbele, achana na hao ma distractors
Capital
Java:
Class Me{

public static void main(Strings [] arg){

System.out.println("Binadamu Mtakatifu");

}
}

WAPI SIWEZI KUANDIKA HATA LINE MOJA YA CODE HEBU NICHAMBULIE MAANA YA EACH KEYWORD KWENYE CODE ZANGJ
 
Inamuonekano mbaya kuliko Ex wangu page hazina constant layout
Wabongo mna shida gani?

Kama unaona UI haikubambi si unaeleza tu kwamba angefanya hivi, angerekebisha hapa ingekuwa vizuri zaidi?
Hizo ni js code sio java code ambazo muandishi anazungumzia
Si ndicho alichosema?
Uongo huyu anafundisha Java sio Javascript (hivi ni vitu viwili tofauti)
Uongo uko wapi?
Mtu kaanzisha uzi wa kuelimisha, wewe unaleta ujuaji.

Kama unajua zaidi si ungeanzisha uzi pia tujifunze kwako kuliko kukosoa bila hata utaratibu?
 
mimi katika kazi zangu zianzi na kulemba , ulinisema,,,,,, nikaona huenda mwenye nayo anajiskia vibaya ajue mtaalamu hajiwezi nikamtengea muda kidogo kuifanya UI,,,,,,, vipi hii nayo Dental Clinic ni Mbaya???, wewe ni mzee wa Frontend
Mimi ni backend developer ila hii unetumia template au hukulala?

Ipo poa
 
Wabongo mna shida gani?

Kama unaona UI haikubambi si unaeleza tu kwamba angefanya hivi, angerekebisha hapa ingekuwa vizuri zaidi?

Si ndicho alichosema?

Uongo uko wapi?
Mtu kaanzisha uzi wa kuelimisha, wewe unaleta ujuaji.

Kama unajua zaidi si ungeanzisha uzi pia tujifunze kwako kuliko kukosoa bila hata utaratibu?
Acha kiherehere kwani unaninunulia bando mpaka unipangie jinsi ya kujibu lastly ni kwamba umekurupuka kasome tena mada
 
Screenshot_20250516-222420_Chrome.jpg


Mkuu hizi zote threads zako, unaumri gani?
 
Back
Top Bottom