Simeone
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 672
- 628
Kisimu changu Itel It6910 kuna uwezekano nikatumia Facebook Lite au WhatsApp?
Je, kuna uwezekano wa ku-update Java Version?
Je, kwanini Apps nyingi zinagoma ila kwenye simu za batani zinakubali?
Java AppStore gani yenye apps ambazo nitaweza kuzitumia kwenye simu h it6910?
Pia Browser gani nzuri ukitoa Uc Browser?
Wataalamu wa hayo mambo nahitaji msaada wenu.
Je, kuna uwezekano wa ku-update Java Version?
Je, kwanini Apps nyingi zinagoma ila kwenye simu za batani zinakubali?
Java AppStore gani yenye apps ambazo nitaweza kuzitumia kwenye simu h it6910?
Pia Browser gani nzuri ukitoa Uc Browser?
Wataalamu wa hayo mambo nahitaji msaada wenu.