Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,165
- 5,621
- Thread starter
- #21
Tunapatikana Ubungo Riverside, mtaa wa Maasaimnapatikana Wapi
Usiogope. Hii ni kozi ya watu kama wewe alimradi ukidhi vigezo viwili vilivyotajwa kwenye hiyo PDF: (1) Kujua Kiingereza cha kutosha kuwasiliana na mwalimu (2) Uwezo wa kutumia Kompyuta kwa matumizi ya kawaidamaana wingine tukisikia Programing na Java Hzo, huwa nahisi kama nimeongezewa miaka ya Kuishi. Maskini wake hata kimoja Sina ujuzi nacho
Hayo mengine utafundishwa. Usiogope kwa kuwa hata manguli unaowaona hawakuzaliwa wanajua. Kuna mahali walilipa gharama ya kujifunza na ndio wako hapo!