Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,105
- 4,635
Anaitwa Fortunat Biselele
Alikuwa ni mshauri wa Rais wa Congo bwana Felix.
Fortunat Biselele alikuwa inner circle ndani ya serikali ya Congo.
Alikuwa anamshauri wa rais Felix kwa mambo MENGI.
Walimgundua kwa kupeleka siri za maongezi ya Serikali ya Congo na kwenda kwa PK.
Na walipopekua nyumbani kwake walimkuta ana hati ya kusafiria ya Rwanda.
Na walimkuta na document za hati za nyumba za Rwanda.
Hio ilionesha kuwa anamiliki nyumba baadhi Rwanda.
Kwa sasa yupo jela mjini Kinshasa
Video ikionyesha alivyokamatwa
👇
Alikuwa ni mshauri wa Rais wa Congo bwana Felix.
Fortunat Biselele alikuwa inner circle ndani ya serikali ya Congo.
Alikuwa anamshauri wa rais Felix kwa mambo MENGI.
Walimgundua kwa kupeleka siri za maongezi ya Serikali ya Congo na kwenda kwa PK.
Na walipopekua nyumbani kwake walimkuta ana hati ya kusafiria ya Rwanda.
Na walimkuta na document za hati za nyumba za Rwanda.
Hio ilionesha kuwa anamiliki nyumba baadhi Rwanda.
Kwa sasa yupo jela mjini Kinshasa
Video ikionyesha alivyokamatwa
👇