mkuu umenikumbusha jamaa alikua jembe sana. Nasiki aliwaikorofishana na serikali ya mkapa baada ya kutoa wimbo wa mv bukoba akakimbilia USA huko alitoa albam moja kali sana ya Maisha ilibamba vibaya sana..... Wanaomjua watatujuza zaidi.
mkuu umenikumbusha jamaa alikua jembe sana. Nasiki aliwaikorofishana na serikali ya mkapa baada ya kutoa wimbo wa mv bukoba akakimbilia USA huko alitoa albam moja kali sana ya Maisha ilibamba vibaya sana..... Wanaomjua watatujuza zaidi.
mkuu umenikumbusha jamaa alikua jembe sana. Nasiki aliwaikorofishana na serikali ya mkapa baada ya kutoa wimbo wa mv bukoba akakimbilia USA huko alitoa albam moja kali sana ya Maisha ilibamba vibaya sana..... Wanaomjua watatujuza zaidi.
Usitumie cheo chako kama dhamana utasababisha ajali kama ya mv bukoba!!
Panapufuka Moshi ujue pana moto
Jamaa alikua jembe sana nilikua na tape yake longtime sana nilinunua mia400.
Watafute walimu wake wa muziki wawili kati yao ni Innocent Galinoma na Endy Swebe hawa jamaa ndio walianza kumfundisha muziki akiwa sekondari ya Tambaza.
Nikimbilie wapi,? wapi nikayafiche maisha yangu? Kwani duniani ndipo nilipoumbwa kuishi,nimchekee nani,? nani nimlilie shida zangu.? Rafiki asubui usiku ndio adui yako.... Ni kati ya mashairi ya wimbo wa maisha. R.i.p J.Kalikawe.
.......ningekua na mabawa ningeruka kama ndege lakini mimi mwanadamu nimeumbwa kutembea aridhini.......
huyu jamaa nasikia alikua mkare sana.kuna uzushi mwingi juu yake
mimi naskia kafungiwa chumba flani WALKGUARD HOTEL bukoba.... anaosha vyombo..lol