King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,328
- 67,754
Justin Kalikawe, alikufa kwa kuamini sana imani za kirasta, aliugua akakataa kwenda hospital, akawa anatumia dawa za asili tu, alizidiwa mpaka umauti unamkuta, kwa kutetea msimamo wake wa kutokwenda hospital..
R.I.P KALIKAWE!
Aliugua Ugonjwa gani?