marco thomas
Member
- Feb 19, 2011
- 29
- 2
Ndg wa Jf.
Huwaona watu wengi wenye tatizo hila, hasa wanapokuwa wamevaa nguo nyeupe na zingine zenye kuonyesha alama za jasho lililobaka na kuacha michilizi alama za rangi kama njano au nyeusi, Hii husababishwa na nini?
Je kuna tiba? Kama ipo ni ipi? Majibu kutoka kwenu wana Jf.
Huwaona watu wengi wenye tatizo hila, hasa wanapokuwa wamevaa nguo nyeupe na zingine zenye kuonyesha alama za jasho lililobaka na kuacha michilizi alama za rangi kama njano au nyeusi, Hii husababishwa na nini?
Je kuna tiba? Kama ipo ni ipi? Majibu kutoka kwenu wana Jf.