Maji hufata mkondo, mpe mbinu ulitokaje kwenye hilo?Kaka mm huwa nasema ukweli ... nisha wahinkufanya ila sasa ninia miaka mingi cjafanya na sikumbuki ni lini nilifanya mara ya mwisho!!! nlicho kisema apo ni ukweli kimemkumba mdogo wangu..
ndio mm nisha wahigi kupiga pulli ila sikuwa kroniki kiasi kama yy... mm nilikuwa kama ndani ya mwezi tuuBasi tumia njia hiyo hiyo iliyokufanya wewe uache na umshauri mdogo wako. You don't need us, do you???
Sawa sawa nduguNenda jukwaa la JF DOCTOR Mada hii imejadiliwa kwa kina
Ni wewe mwenyewe bhana usimsingizie mdogo wakounanikosea ndugu
Vipi kama mtu mpenzi wa mivies,, kuna movi zinakuwa na sceen za mapenzi ... na kujizuia kucheki movies ni kimbembePole sana mkuu kwa hiyo shida.
Usiangalie au usisome mambo yote yanayohusu ngono
usikae peke yako kila muda
tafuta demu unayempenda tena awe bomba
fanya mazoezi
sali sana na soma vitabu vyenye kukupa maarifa
Nb;usifiche tatizo
na wewe ni muhanga nini?Lweli kabisa. So haina madhara?
Watu mnajua kuumbua Humu ndaniUmevaa uhusika wa mdogo wako ila kiuhalisia ni wewe mwenyewe
😂 😂 😂 😂 😂Umevaa uhusika wa mdogo wako ila kiuhalisia ni wewe mwenyewe
Hyo inaitwa nyeto ya kulipwaHanari wanaJF,
Ilikuwa mwaka 2013 , mdogo wangu alikuwa kidato cha kwanza, siku moja alirudi nyumbani kutoka shule alipo maliza kubadili nguo za shule na kuvaa nguo za nyumbani akaniuliza "kupiga punyeto ni sawa sawa na kufanya mapenzi na mwanamke?" Mimi nikamjibu "kupiga punyeto ni sawa na kujiridhisha matakwa yako bila mwanamke ila kwa kutumia hisia kama uko na mwanamke vile"
Usiku wa siku hiyo niliingia chumbani kwake nikakuta jarida flani la hapa Tanzania katika meza yake ya kusomea, nikaamua kulipitia pitia nikakutana na maada inayo sema punyeto haina madhara yoyote bali inasaidia mtu kuepukana na kupata magonjwa ya zinaa na ubakaji.
Walikuwa wameidadavua iyo mada vizuri haswaaa, basi nikagundua sababu ya dogo kuniuliza kuhusu punyeto ni lile jarida.
Hiyo ilikuwa ni 2013 ila sasa dogo amekuwa muhanga wa punyeto, anapiga kama hana akili nzuri kila siku anapiga punyeto na kuna wakati ana niambia akiona hapati usingizi basi anapiga chap alafu anaishia usingizini. Japo anataka kuacha ila anashindwa kabisa, na kuna wakati ananiambia kuwa hata akiwa na demu wake basi anashindwa kumwaga kabisa adi inabidi amalizie na mikono mingi.
Nimwambie atumie njia gani ili aweze kuacha kabisa hilo swala? maana amekuwa mtumwa wa punyeto kabisa.!!



Kha!!AkiliMingi AM,
Aendelee tu hakuna namna
This was not necessary. Toa ushauriUmevaa uhusika wa mdogo wako ila kiuhalisia ni wewe mwenyewe