Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,857
- 14,747
Huu ni unafiki uliopitiliza. Wewe ulipozaa na ndugu yako Mungu hakuwepo wakati huo?unatufanya maboya akati mhusika ni wewe, suluhisho jitaidi kusoma maneno ya mungu kulingana na imani yako, epuka kukaa pekee ndani pia jikeep busy mda mwngi nadhan huyo shetan utamshinda
Sijui kwa nini wabongo kwenye kutoa ushauri wanajidai kama malaika ilhali wao wanamatukio ya ajabu kuliko hata mashauriwa. Uziri nyuzi zao zimo humu.
Ukiwa mnafiki usiwe msahaulifu.
