Bush Stars walikuwa na Mzee Meko, nadhani timu nzima ndo alikuwa anavaa shati, kuna kipindi alipataga timu South Afrika, sina uhakika kama aling'ara kama huku Bongo. Jamaa alikuwa mkali balaa.
Kulikuwa na jamaa mmoja mbabe Bush Stars anaitwa Hui Hui, sijui yuko wapi siku hizi.