EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,083
Najua kuna baadhi ya watu watahoji sana lakini huu ndio ukweli wenyewe.
1. Ili uwe tajiri, Toa
2. Ili ufanikiwe, Tumika
3. Ili ucheke, Mfanye mwingine acheke
4. Ili ustawi, Kuwa mwaminifu
5. Ili ufike mbali, Amka mapema
6. Ili umbadilishe mtu, Badilika wewe Kwanza
7. Ili uwe mkuu, Kuwa mwanafunzi kwanza
8. Ili uwe na nguvu, Omba sana
9. Ili ufanye mambo mengi, Ongea machache
10. Ili uishi vizuri, Samehe wanaokukosea
11. Ili uongee vizuri, Zuia hasira
12. Ili upendwe, Penda
13. Ili uheshimiwe, Kuwa mpole
14. Ili umfunge na kumkemea shetani, Jitakase kaa mbali na Dhambi
15. Ili ukuwe katika imani, Tafakari maneno yake mchana na usiku.
1. Ili uwe tajiri, Toa
2. Ili ufanikiwe, Tumika
3. Ili ucheke, Mfanye mwingine acheke
4. Ili ustawi, Kuwa mwaminifu
5. Ili ufike mbali, Amka mapema
6. Ili umbadilishe mtu, Badilika wewe Kwanza
7. Ili uwe mkuu, Kuwa mwanafunzi kwanza
8. Ili uwe na nguvu, Omba sana
9. Ili ufanye mambo mengi, Ongea machache
10. Ili uishi vizuri, Samehe wanaokukosea
11. Ili uongee vizuri, Zuia hasira
12. Ili upendwe, Penda
13. Ili uheshimiwe, Kuwa mpole
14. Ili umfunge na kumkemea shetani, Jitakase kaa mbali na Dhambi
15. Ili ukuwe katika imani, Tafakari maneno yake mchana na usiku.