Jaribio la kuomba hela

Jaribio la kuomba hela

Na hio ndio njia pekee ya kumfukuza fisi[emoji23][emoji23][emoji23] ambayo wanawake wengi inatakiwa wajifunze. Ukiombwa hela bila sababu ya msingi katika hatua za awali tu baharia jua tu huitajiki!

Sikuhizi nilichogundua mwanamke anaekupenda anakupa yeye hela na papuchi ili umpe airtime. Kazi ni kwenu mabaharia. Zama zimebadilika watoto wa Dar wanazidi kuoza tu!
Ref: Ben Pol et. al
Hahahahah kweli kizaz Cha wanaume kimeisha,eti mwanamke anayekupenda anakupa hela na papuchi,nyooo mtapewa hadi maradhi kwa kupenda mteremko.Na kwa taarifa tu nowadays wanawake wenye grid wanamwaga hela hatari kwa mariosss,take care mwanaume majukumu

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom