to hell, yaani tapeli umemkataa leoo hii unamlamba miguu akusaidie, how comes!!!
Jamani, suluhisho la nchi kukaa gizani sio mitambo ya dowans hata kidogo,
wengi wamekwisha ongea siku nyingi, kuhusu
1. umeme wa upepo
2. umeme wa makaa ya mawe
3. umeme wa mkonge
4. umeme kwenye bonde la rufiji
5. tununue mitambo yetu wenyewe na sio kukondi mitambo
...kwa mantiki hiyo basi hakuna kiongozi hata
mmoja aliyetingishika kuona mapendekezo yote hayo yanafaa, ila kiaacho kwao ni kuwa na mgao wa umeme ambao utawawezesha kuagiza majenereta kwa ajili ya kuchuuza na kuagiza mitambo kama ya dowans na kuhujumu uchumi wa nchi.
We are not fools!! this is going to the end, we are fed up! oneday we going to explode like a missile and no one gona believe this!!!
slowly, slowly it started in Tunisia, then Egypt and now Algeria, what follows is the provoked " peace island, Tanzania" who told you! dont fool us!
We soon going to the streets to demand our rights and what has been stolen from us,
we were cool for a long time, but now we will never shut/close our mouth!!!