DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Niliwahi kusema Zitto na January wanaousaka urais kirahisi watatuingiza matatizoni.2wakatae hawa kula kulala.
January kawachana kina Lowassa,Membe na wengineo kuwa wote waliozaliwa kabla ya 1961 waachane na mawazo ya Urais maana watatupotezea muda ...tunahitaji rais wa dot.com atakayeendana na changamoto za leo
muasisi ni @Zito kabwe hakika kila siku napingana na wanajamvi humu wanaowasapoti hawa vijana wawili ambao kwangu nawaona mambo yao ni sawa na kikweete
wanaotaka uongozi kwa njia rahisi ndio huleta siasa za kuwatenga wengine, iwe kwa umri, dini au sehemu mtu anapotoka
January kawachana kina Lowassa,Membe na wengineo kuwa wote waliozaliwa kabla ya 1961 waachane na mawazo ya Urais maana watatupotezea muda ...tunahitaji rais wa dot.com atakayeendana na changamoto za leo
Ngoma yake na Zitto inachekesha, wamepania kupeana tafu, kuwa atakayepata atajenga seriklai ya mseto. this stupid tritiny(Zitto,Jussa, January). funny enough ni watoto wa madrassa waliongia elimu dunia kwa fujo.
January kawachana kina Lowassa,Membe na wengineo kuwa wote waliozaliwa kabla ya 1961 waachane na mawazo ya Urais maana watatupotezea muda ...tunahitaji rais wa dot.com atakayeendana na changamoto za leo
nchi hii lazima viongozi na wataalamu wake waendelee kuwa vijana na watu wazima na wazee, huku vijana wakipewa nafasi zaidi lakini si lazima nafasi hiyo iwe kwenye urais. Kuna nafasi nyingi za uongozi na utaalamu zinazoweza kufanywa na vijana licha ya urais. Rais mzuri anaweza kuwa kijana au mzee mradi athibitishe uwezo mkubwa wa kuwa Rais.