AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
kaandika hivi leo kwny fcbk wall yake.
"Matukio yanayotekea hivi leo bungeni yananikumbusha makala yangu niliyoiandika mwaka 2008, Je kwa hali hii tunahitaji uongozi wa kidikteta?"
my outlook:
Haihitaji elimu ya chuo kikuu kubaini kuwa Jmakamba anampiga vijembe nani hapo.
Hiyo makala ilikuwa inazungumzia "Udhaifu"?? Maana anaseka hayo mambo yamemkumbusha makala yake!!
Ah,,,utawala wa kidikteta hata sasa unaendelea tu,,,maana kundi la watu wachache wananeemeka na utawala huu,huo pia ni udikteta,au anadhan udikteta ni kutumia nguvu
Huyo Januari Makamba naye ni mdhaifu wa wadhaifu tu.
kaandika hivi leo kwny fcbk wall yake.
"Matukio yanayotekea hivi leo bungeni yananikumbusha makala yangu niliyoiandika mwaka 2008, Je kwa hali hii tunahitaji uongozi wa kidikteta?"
my outlook:
Haihitaji elimu ya chuo kikuu kubaini kuwa Jmakamba anampiga vijembe nani hapo.
kaandika hivi leo kwny fcbk wall yake.
"Matukio yanayotekea hivi leo bungeni yananikumbusha makala yangu niliyoiandika mwaka 2008, Je kwa hali hii tunahitaji uongozi wa kidikteta?"
my outlook:
Haihitaji elimu ya chuo kikuu kubaini kuwa Jmakamba anampiga vijembe nani hapo.
Huyo Januari Makamba naye ni mdhaifu wa wadhaifu tu.