Omutontozi
Senior Member
- Nov 12, 2021
- 122
- 213
Hii nchi ilikuwa imetumbukizwa katika shimo refu sana la Ukabila na kuabudu mtu (binadamu). Wanaomtusi makamba aidha ni wasukuma au waabudu watu ambao waliamini Tz ni Magufuli na Magufuli ni Tz, bahati mbaya wanachanganyikiwa mungu wao hayupo tena, Uhakika wa kupewa nafasi nyeti wameukosa, nafasi za kuua wamtakae wameikosa sasa wanakuandama wewe kwa sababu umewekwa sehemu ambayo walikuwa wanaitumia kula.
Wanajifanya wazalendo wakati hawana lolote bali tu matumbo yao yamebanwa. Kama ni kula we kula tu January kwani ni lini nchi hii imeacha kuliwa
Wanafiki wanaokupigia kelele wanaona safari yako ya kuingia Ikulu imerahisishwa sana maana ramli zinaonesha nyenzo zote za kuingia Ikulu unazo labda uzichezee. Binafsi nilitaka baada Samia Upinzani uingie Ikulu lkn kama mazingira yasiporuhusu January utakuwa chaguo sahihi.
Achana na wapumbavu eti bwawa, Wtz tuna shida nyingi zaidi ya hilo bwawa. Trilion 6 iliyoelekezwa kwenye hilo dude ingeelekezwa katika kusambaza maji ningewapigia makofi mengi
Kama wao walitelekeza mradi wa gesi bila sababu, sitaona ajabu hata bwawa likitelekezwa, tunahitaji Katiba Mpya kuondoa vurugu hizi za kisiasa.
Wanajifanya wazalendo wakati hawana lolote bali tu matumbo yao yamebanwa. Kama ni kula we kula tu January kwani ni lini nchi hii imeacha kuliwa
Wanafiki wanaokupigia kelele wanaona safari yako ya kuingia Ikulu imerahisishwa sana maana ramli zinaonesha nyenzo zote za kuingia Ikulu unazo labda uzichezee. Binafsi nilitaka baada Samia Upinzani uingie Ikulu lkn kama mazingira yasiporuhusu January utakuwa chaguo sahihi.
Achana na wapumbavu eti bwawa, Wtz tuna shida nyingi zaidi ya hilo bwawa. Trilion 6 iliyoelekezwa kwenye hilo dude ingeelekezwa katika kusambaza maji ningewapigia makofi mengi
Kama wao walitelekeza mradi wa gesi bila sababu, sitaona ajabu hata bwawa likitelekezwa, tunahitaji Katiba Mpya kuondoa vurugu hizi za kisiasa.