macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,300
- 57,046
Asalaam Alekuum waungwana!
Kuna mwanasiasa mmoja Tanzania ambaye ni bingwa wa kutumia ''rupia'' alizozikwapua kwa njia ya ufisadi anaofanya kwa kisiri siri kuhonga ili jina lake ''lipaishwe''. Huyu mwanasiasa ni mvivu sana na hakuna anachofanya ila kazi yake ni kuangalia upepo unavuma kuelekea wapi halafu anajipendekaza. Kwa mfano sasa amemganda mgombea wa CCM kama luba na haishi kujipenyeza ili kama wizi wa kura ukifanikiwa kama walivyopanga akumbukwe kwenye baraza la mawaziri. Leo alikuja uwanja wa Taifa kujipendekeza na akajifanya kulipia watu viingilio huku akiwa amesha-set na MC ili wakati wa halftime amsifie. Matokeo yake ni aibu ya mwaka kwani watu walianza kushangilia kwa kutaja jina la anayetegemewa kuwa rais wetu, Lowassa. Naomba watu wote wenye nia njema na nchi yetu wafuatilie kwa karibu nyendo za msanii huyu
Kuna mwanasiasa mmoja Tanzania ambaye ni bingwa wa kutumia ''rupia'' alizozikwapua kwa njia ya ufisadi anaofanya kwa kisiri siri kuhonga ili jina lake ''lipaishwe''. Huyu mwanasiasa ni mvivu sana na hakuna anachofanya ila kazi yake ni kuangalia upepo unavuma kuelekea wapi halafu anajipendekaza. Kwa mfano sasa amemganda mgombea wa CCM kama luba na haishi kujipenyeza ili kama wizi wa kura ukifanikiwa kama walivyopanga akumbukwe kwenye baraza la mawaziri. Leo alikuja uwanja wa Taifa kujipendekeza na akajifanya kulipia watu viingilio huku akiwa amesha-set na MC ili wakati wa halftime amsifie. Matokeo yake ni aibu ya mwaka kwani watu walianza kushangilia kwa kutaja jina la anayetegemewa kuwa rais wetu, Lowassa. Naomba watu wote wenye nia njema na nchi yetu wafuatilie kwa karibu nyendo za msanii huyu