January Makamba is the next Tanzania Foreign Minister

January Makamba is the next Tanzania Foreign Minister

Amina Salim Ali si mzanzibar ni mnyamwezi kutoka Bara babaake ni mzaramo asije akawa makamo wa Rais wakadai anaiwakilisha Zanzibar natoa tahadhari mapemba.
 
MAKAMBA NI PANDIKIZI LA WAZUNGU...Huyu ni bure kabisa....
 
nasikia wasambaa ni waaminifu sana,sio vidokozi dokoz aka wizi, jamaa ana future nzuri

Yani hiyo ni kweli kabisaa,wasambaa wanaogopa kula vya watu yani hawana udokozi kabisaaaaaaaa na ni waaminifu sana.Nyie wenyewe mnatakiwa kuwa mashahidi.
January makamba pamoja na unaibu waziri wake lakini hana skendo ya udokozi.
Wagosi oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
nilikutana na mama mmoja, anabajaji zake, akawa anaialia atatapeliwa na mfanya kazi, mwenzake akamwambia, 'wewe wa wapi wewe tafuta kijana wa kisambaa, hutajuta, ni mwaminifu, mchapakzi, hopeful Januar ataifaa sana Tanzania

Pia wapo wezi wasambaa acha kampeni!!
 
Yaani mimi ninafuraha toka nimeona yule fisadi papa hajapitishwa,hao yeyote akipita sina tatizo nao ila ningependa zaidi Magufuri ashike usukani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom