SHANTI
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 296
- 365
Kwa mujibu wa matokeo ya jana ni dhahiri Membe na wazee wenzie wana nafasi kubwa kupewa bendera ya chama.
Kwa sababu hiyo namuona kijana wa bumbuli akienda kukitwaaa cheo cha waziri wa mambo ya nje ili kumkomaza kidiplomasia kama ilivyokuwa kwa watangulizi wake jakaya na membe. Inaonekana ile ndio wizara ya kuwasubirisha vijana wenye umri mdogo kama ilivyokuwa kwa baba Riz.
Namuona anavyokwenda kuyashika magazeti kwa kipindi kirefu cha miaka 10 ijayo.
Amin usiamin hii itatokea kwa kijana wa bumbuli.
NB:
Huu ni mtazamo wangu tu na sio maamuzi ya rais mteule
Kwa sababu hiyo namuona kijana wa bumbuli akienda kukitwaaa cheo cha waziri wa mambo ya nje ili kumkomaza kidiplomasia kama ilivyokuwa kwa watangulizi wake jakaya na membe. Inaonekana ile ndio wizara ya kuwasubirisha vijana wenye umri mdogo kama ilivyokuwa kwa baba Riz.
Namuona anavyokwenda kuyashika magazeti kwa kipindi kirefu cha miaka 10 ijayo.
Amin usiamin hii itatokea kwa kijana wa bumbuli.
NB:
Huu ni mtazamo wangu tu na sio maamuzi ya rais mteule