Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,351
Kwa upepo unavyoenda, kuna kila dalili za Mhe. January Makamba kuwa Rais wa TZ miaka michache ya mbeleni, sifa anazo, ana uelewa mpana wa mambo mengi, yupo smart kiakili na kimwili na ana uchungu na maendeleo ya nchi hii.
Naona kabisa TZ tukisema Mhe. Rais Makamba.! Note that:
Naona kabisa TZ tukisema Mhe. Rais Makamba.! Note that:
