January Makamba anaweza kuwa Rais

January Makamba anaweza kuwa Rais

Mkulungwa01

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
3,977
Reaction score
5,351
Kwa upepo unavyoenda, kuna kila dalili za Mhe. January Makamba kuwa Rais wa TZ miaka michache ya mbeleni, sifa anazo, ana uelewa mpana wa mambo mengi, yupo smart kiakili na kimwili na ana uchungu na maendeleo ya nchi hii.

Naona kabisa TZ tukisema Mhe. Rais Makamba.! Note that:
 
Back
Top Bottom