January Makamba anafaa kusimamia TAMISEMI?

January Makamba anafaa kusimamia TAMISEMI?

Ni swali wakuu. Ndugu yetu huyu ni mwanadiplomasia sana. Mshiriki mzuri wa siasa za nchi kwa kuwa ametumia muda wake mwingi kulijenga Taifa akiwa hewani+hewani tena na barabarani.

Ni mstaarabu mno kiasi kwamba anaeleweka mpaka kwa watu wenye uhitaji na maono "mafupi' tu.

Nchi yetu ni maskini na 75% tuna maono mafupi. Ndugu yetu kawafikia wengi katika vipindi tofaouti na kwa muda mrefu.

Hatutegemei kuwa na viongozi malaika na mazingira yetu na kutengeneza nguzo imara za Nchi yetu, ndiyo maana nauliza hivyo.

Naleta humu na asanteni kwa yote.
Hatutaki vizazi vya laana za wana mtandao humu.

Kwendeni zenu huko,mliyotufanyia mkishirikiana na baba zenu yalitosha na sasa kaeni mle mlichokusanya.

Wapambe nuksi nendeni mpewe mafungu lakini sisi wapiga kura

#tunasimama na JPM 2025
 
Jaffo kapaweza hakuna mwingine, Makamba labda mambo nje atatufaa sana
 
Makamba Jr ni mmoja wa wanasiasa bora vijana tatizo yupo kwenye lichama lenye mfumo wa kishetani
 
Ni swali wakuu. Ndugu yetu huyu ni mwanadiplomasia sana. Mshiriki mzuri wa siasa za nchi kwa kuwa ametumia muda wake mwingi kulijenga Taifa akiwa hewani+hewani tena na barabarani.

Ni mstaarabu mno kiasi kwamba anaeleweka mpaka kwa watu wenye uhitaji na maono "mafupi' tu.

Nchi yetu ni maskini na 75% tuna maono mafupi. Ndugu yetu kawafikia wengi katika vipindi tofaouti na kwa muda mrefu.

Hatutegemei kuwa na viongozi malaika na mazingira yetu na kutengeneza nguzo imara za Nchi yetu, ndiyo maana nauliza hivyo.

Naleta humu na asanteni kwa yote.
Huyu jamaa anafaa kuwa Raisi,Waziri mkuu,au Waziri wa Tamisemi,Waziri wa fedha,Nishati na madini.
Ingekuwa amri yangu,Huyu jamaa angechukua Uraisi wa Jamhuri ya Muungano,2020,waziri mkuu awe,Suleiman Jafo,Waziri Ardhi awe Lukuvi,wa fedha awe Prof Assad,ulinzi Mwinyi,Katiba na Sheria Zito Kabwe,Madini,Biteko
 
Ni swali wakuu. Ndugu yetu huyu ni mwanadiplomasia sana. Mshiriki mzuri wa siasa za nchi kwa kuwa ametumia muda wake mwingi kulijenga Taifa akiwa hewani+hewani tena na barabarani.

Ni mstaarabu mno kiasi kwamba anaeleweka mpaka kwa watu wenye uhitaji na maono "mafupi' tu.

Nchi yetu ni maskini na 75% tuna maono mafupi. Ndugu yetu kawafikia wengi katika vipindi tofaouti na kwa muda mrefu.

Hatutegemei kuwa na viongozi malaika na mazingira yetu na kutengeneza nguzo imara za Nchi yetu, ndiyo maana nauliza hivyo.

Naleta humu na asanteni kwa yote.
Huo upole wake wa sasa ni kwa sababu he aint one of the chosen few like he used to.

Anajua kula na vipofu lakini ni janga tu huyo,mwenzie Nape kageuka mwanafalsafa round hii na ni baada ya kutemwa coz before that he was such an .. akishiriki kwenye kuzima bunge live na upuuzi mwingine kibao.
 
Huyu jamaa anafaa kuwa Raisi,Waziri mkuu,au Waziri wa Tamisemi,Waziri wa fedha,Nishati na madini.
Ingekuwa amri yangu,Huyu jamaa angechukua Uraisi wa Jamhuri ya Muungano,2020,waziri mkuu awe,Suleiman Jafo,Waziri Ardhi awe Lukuvi,wa fedha awe Prof Assad,ulinzi Mwinyi,Katiba na Sheria Zito Kabwe,Madini,Biteko
Watasema tunafahamiana na unampigia debe. Sijui tatizo letu ni lipi aisee
 
January hapana ni janga. jafo yuko vizuri
Unajua TAMISEMI imejaa hizi siasa za hapa na pale. Kwa hiyo ni vema uwe mzalishaji-kwenye WATU, ARDHI, SIASA SAFI na kwa hakika UONGOZI BORA. Huyu Ndugu ni fundi kwa namna ninavyomtafsiri mimi.
 
Back
Top Bottom