January Makamba anafaa kusimamia TAMISEMI?

January Makamba anafaa kusimamia TAMISEMI?

Chizi Fureshi

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2010
Posts
1,718
Reaction score
462
Ni swali wakuu. Ndugu yetu huyu ni mwanadiplomasia sana. Mshiriki mzuri wa siasa za nchi kwa kuwa ametumia muda wake mwingi kulijenga Taifa akiwa hewani+hewani tena na barabarani.

Ni mstaarabu mno kiasi kwamba anaeleweka mpaka kwa watu wenye uhitaji na maono "mafupi' tu.

Nchi yetu ni maskini na 75% tuna maono mafupi. Ndugu yetu kawafikia wengi katika vipindi tofaouti na kwa muda mrefu.

Hatutegemei kuwa na viongozi malaika na mazingira yetu na kwa kutengeneza nguzo imara za Nchi yetu, ndiyo maana nauliza hivyo.

Naleta humu na asanteni kwa yote.
 
Kwanza Tamisemi haiwezi hata kidogo, pili nchi hii ni tajiri sana ,sema hatujaweza kuvuna resources na kuzitumia kwa manufaa kwa wakati
 
Ila yule naibu wamtoe, hana ladha kabisa ya kuwa tamisemi.
 
Amsaidie waitara maana viatu alivyokabidhiwa naona kama vina mlegea

43bn + 18bn =1bn
 
Amsaidie waitara maana viatu alivyokabidhiwa naona kama vina mlegea

43bn + 18bn =1bn
Aiseee umeona vizuri sana jamaa huwa namwangalia anavyojibu maswali pale bungeni mpaka unaionea aibu kada ya ualimu
 
Jafo ameiweza wizara, Januari mambo ya nje patamfaa zaidi
 
Jafo anatosha sana hapo Tamisemi tena ana fit kweli kweli mpaka kuna muda natamani angekuwa wizara ya mambo ya ndani. Btw kina January hao wote wana ndoto za Urais na wamesha declare interest zao za kugombea at the second side unaweza kuona ni minor threat kwa mkuu ndio mana bwana mdogo kafichwa uko mazigira ili asichanue
 
Jafo atosha. January nikikumbuka sheria za makosa mitandaoni sina hamu naye kabisa.
 
Back
Top Bottom