January Makamba ajihami kupitia

Unajua stori za kwenye migahawa huwa zinaambatana na ulevi kwa mbaaali..
 
NYUMBU UMEAJIRI NANI ZAIDI YA KUKESHA HUMU UNATUKANA WATU.
 
Magu angekuwa anaufuata ushauri wa kwenye mitandao mwaziri wengi wasingeingia kwenye cabinet yake mfano Muhongo, Mwakyemebe na huyo januari wako.
 
Rais ni taasisi inayojitegemea, ni taasisi yenye vitendea kazi vyote muhimu, ni taasisi yenye watendaji wenye utashi na wanaojua wajibu wao, kama umefuatilia kwa makini baadhi ya hotuba za Rais, anasema:
  • Hayupo kwa ajili ya kumuonea mtu yeyote...
  • Yeye ni Rais wa watanzania wote bila kujali itikadi, dini wala makabila...
  • Anajua majipu yako mengi na mengine tena makubwa yapo ndani ya chama chetu...
  • naomba watanzania wa dini zote mniombee nitakapokuwa natekeleza wajibu wangu...
  • nk
Kwa maneno hayo machache kati ya mengi ambayo Rais amekuwa anasema karibu katika kila hotuba zake yanaashiria ufahamu wake juu ya mambo anayoyafanyia kazi ni wa kutosha na maamuzi yake yanafanywa kwa umakini zaidi ya vile tujuavyo mimi na wewe;

Nakushauri ndugu yangu, senior member mwenzangu Bak byzo I.Ttumwache Rais atupeleke tulikomwomba atupeleke, maana sisi kama abiria tuna mitazamo mingi yenye maslahi binafsi nk. (kumchomea au kumtetea Makamba) ningeshauri tena tutambue kuwa chombo kipo safarini, tumwache rubani afanye kazi yake nasi kwa upande mwingine tuendelee kutimiza wajibu wetu
 
Mimi nadhani Rais ana taarifa nyingi za viongozi waandamizi kuliko tunavyoweza kujidai kumshauri kwa nyepesi nyepesi tunazosikia huku mtaani. Rais anaousalama wa taifa ambao bila shaka wanapatia taarifa zozote za mhusika pale anapozihitaji. Hawezei kushindwa kupata nyeti za Makamba hadi aliyetoa bango ajifanye kuwa mshauri wa Rais katika hili.
 
Naona kuna uzi jamaa kauleta ambao unaelezea yule mtaliano yupo tayari hayt hotel kwa kuyatoa ya moyoni na kuweka mambo wazi huo uzi naona umefutwa na mods
 
Hapa mtu Kama no jipu azima utumbuliwe na makamba nilazima uwajibishwe
 
Akimfukuza huyo makamba ndio watu watamuelewa
 
Mkuu kilio cha watanzania ni kuona makamba anatupiwa vilago
 
Tunataka harakati za ujenzi wa viwanda alivyoahidi ziende sambamba na hiyo safisha safisha vinginevyo ni propanda
Mkuu viwanda bila ya umeme wa uhakika ni ndoto za mwenda wazimu
 


Ulianza jenga hoja yako vizuri sana, lakini katikati nikagundua kumbe ulikuwa unalenga wapi. kumbuka Rais Magufuli kachaguliwa si tu na wana CCM bali watanzania nikiwamo mimi ambaye si mwanachama wa chama chochote kile na baada ya kuwa Rais, kimsingi anatakiwa asiangalie chama bali watanzania (ingawa ni vigumu sana kuwa full neutral).

Kwa mwennendo wake ni kweli anajaribu sana labda hadi sasa kuliko watangulizi wake. Naoma uangalie hii quote ya meaning ya dectorship hapa chini.

"Dictatorship is a form of government where a country is ruled by one person or political entity, and exercised through various mechanisms to ensure the entity's power remains strong". Pamoja na maana hii, system yetu inampa Rais almost power kama hiyo, lakini pia anaweza kuitumia kurekebisha mfumo uzo kama wetu na ninaamini ndicho anacho kifanya Rais. Katika kufanya hivyo anaweza onea wengine na hata kupendelea kwa nia nzuri sana ya kurekebisha mfumo ozo.

January anaweza kufukuzwa hata kesho kama Rais atalidhika kufanya hivyo ni sehemu ya kutoa mfumo ozo na hakuna haja ya kulia kaonewa. Ndio maana pia kuna mahakama kusaidia kuzuia hili kuvuka mpaka kwa kutoa haki, na yeyote yule atakaye ona si sawa ana uhuru mkubwa tu wa kuchallenge ili apate haki yake.

Mimi suala kubwa kwangu why discuss about January, hakuna mambo mengine ya maana ya kubadilishana mawazo? Wametoleana skendo zao ni juu ya Rais kupima waziri wake kuingizwa katika skendo amtoe amwache na kuna madhala gani kwa pande zote. Nyerere aliwahi sema, kiongozi wa uuma hastahili hata kushutumiwa tu. Sasa Rais aangalie uzito mwenyewe, sio ninyi wapambe kwa sababu zenu binafsi.
 
Hii ishu ilikuwa ya weekend, ishapoteza mvuto jinsi ilivyokuwa hyped! Kama kuna maamuI yoyote, mwachieni mkuu!
indueni topic nyeti zingine.
 
Usiku wa jana watu wamelipwa wakakesha kuandaa nyaraka za kumtetea yule dogo anayeuza rasimali sambamaba na papuchi ya dafaye.
Mkuu hiyo haitasaidia kitu kama no maji ndiyo tayari yamesha mwagika
 
Usiku wa jana watu wamelipwa wakakesha kuandaa nyaraka za kumtetea yule dogo anayeuza rasimali sambamaba na papuchi ya dafaye.
Kwani papuchi ya dafaye nayo ni rasiliamali, acha bhana!!!!
 
Hii ishu ilikuwa ya weekend, ishapoteza mvuto jinsi ilivyokuwa hyped! Kama kuna maamuI yoyote, mwachieni mkuu!
indueni topic nyeti zingine.
 
Tunataka harakati za ujenzi wa viwanda alivyoahidi ziende sambamba na hiyo safisha safisha vinginevyo ni propanda
Ni kweli kabisa, maisha ya mtanzania wa chini yanazidi kuwa magumu. Kubana na ku create fursa vilikuwa viendane pamoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…