Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,200
- 820
Mzee Mwinyi ,uwezo wake wa kufikiri Umezeeka,bora akae kimya asije pelekwa The Hague.
Ndo maana hata tuzo na mabillion ya MO yanampitaga kushoto, mawazo kama haya ndo yaleyale ya akina Bagbo!
Mzee Mwinyi ,uwezo wake wa kufikiri Umezeeka,bora akae kimya asije pelekwa The Hague.
Huyo mzee anaweza asikumbuke kuwa alisema nini.