Jangwani Wamefurahi kimoyomoyo

Jangwani Wamefurahi kimoyomoyo

Mr Ambassador

Member
Joined
Sep 3, 2012
Posts
13
Reaction score
2
Inaonyesha Yanga wamefurahi kimoyomoyo kukosekana kwa Okwi na Maftah laa sivyo wangekaa nne jana. Maana walishangilia vibaya mno.
 
Nonsense Ngalema alicheza vizuri kuliko hata amabavyo angecheza huyo Maftah wenu
 
Nonsense Ngalema alicheza vizuri kuliko hata amabavyo angecheza huyo Maftah wenu
Ngalema ni mzuri sawa lakini tofauti na Maftah, Maftah anazuia na anapandisha timu kitu ambacho Ngalema hakuwa nacho jana.
 
Walianza kushangilia tokea siku aliyotolewa kwa kadi nyekundu.
 
Ngalema ni mzuri sawa lakini tofauti na Maftah, Maftah anazuia na anapandisha timu kitu ambacho Ngalema hakuwa nacho jana.

Ngalema alicheza vizuri, lakini nakubali Okwi pengo lake lilionekana.
 
Inaonyesha Yanga wamefurahi kimoyomoyo kukosekana kwa Okwi na Maftah laa sivyo wangekaa nne jana. Maana walishangilia vibaya mno.

Mie nimefurahi maana simba 11 ukiongeza mwamuzi na line 2 dhidi ya 10 wa Yanga ...si mchezo.
 
Back
Top Bottom