BILLY ISISWE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,667
- 1,051
Mvua ndiyo ilichelewesha. Na alikosea kutangaza, ni 20
2020 julai
Sent using Jamii Forums mobile app
2020 julai
Sent using Jamii Forums mobile app
Who created this mess?Watakuja vichaa wa Mataga hapa uone watakacho ongea ndio ushangae
Wewe usidanganye watu, hili tunaliona kote hata US, UK kote huko upinzani haujawahi kuunga mkono chama kilicho madarakani.Hivi huwa hamjioni kuwa mna utindio wa akili. Let me assure you, hata mkipata ridhaa ya kuongoza nchi, hawa CCM watawafanyia mnayofanya sasa. Angalia sana, nia ya mageuzi iwe ni kukosoa watawala ili nchi isonge mbele isiwe upinzani wa kila jambo. Unafurahi as if si nchi yako?
Previous ccm governments.Who created this mess?
Ulishaona marekani wanajeshi wakiuawa upinzani unashangilia? Usilolijua si ajabu tumeishi hukoWewe usidanganye watu, hili tunaliona kote hata US, UK kote huko upinzani haujawahi kuunga mkono chama kilicho madarakani.
Labda hufuatilii siasa za kimataifa, umezoea hizi siasa local za kutekana au labda hauna "Exposure".
Kwahiyo hizo tulipe tu na kuendelea kuwakenulia meno na kuwaimbia mapambio wanaoharibu nchi?Tutatoka tu, hamna namna.
Taifa langu tanzania litasimama tu, binasi siwezi furahia hili janga maana linanigusa mimi kama mwananchi.
Haijalishi kuna mtu kazembea au kapiga hizi pesa, ila tujue tu tunazirudisha wote kwa pamoja...sio viongozi wa awamu ya nne wala ya tano, bali ni janga letu wote!!
Kikubwa ni kuamka tu na kufanya maamuzi magumu maana majanga kama haya hayataisha kwa sababu tusipopata watu sahihi tutaendelea kuchagua wachumia tumbo wenye kupenda na kulewa madaraka.
Ulishaona marekani wanajeshi wakiuawa upinzani unashangilia? Usilolijua si ajabu tumeishi huko
Umesahau marekani polisi wanavyoua weusi?..na umeshaona marekani wanajeshi au polisi wakidhalilisha, wakiteka, wakipiga, au wakiua, wapinzani?
Umesahau marekani polisi wanavyoua weusi?
Awamu iliyopita kwann hawakununua ndege? Walishaulizwa?