Abu_yazid
JF-Expert Member
- Mar 28, 2014
- 3,435
- 4,255
Ilani ya ccm ya uchaguzi wa mwaka 2015... Ambayo ndio wanaitekeleza kwa sasa na viongozi wengi wanatembea nazo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilani ya ccm ya uchaguzi wa mwaka 2015... Ambayo ndio wanaitekeleza kwa sasa na viongozi wengi wanatembea nazo...
sie tupo bize kuangalia kama kodi inalipwa tu hayo madhara huko mtaani mtajua wenyeweTujadil hili..kumekua na ongezeko la machine za wachina seemu mbalimbali mitaani husasan mjini DSM (cjui mikoan)..machine hizi ni zile za kuweka coin za miambili..tulizoea hizi kua seemu za staree ambapo si rahis kwa watoto kufika lakin ss zimetapakaa Karbu Kila Kona Na wachezaj wakubwa ni watoto chini ya miak18 kinyume Na katakwa ya sheria.je vyombo husika awalioni hili?? Hata Kama Kodi Basi tutazakisha taifa lijalo la wakamaria tuu.tukianza na beting machine,biko,tatu mzuka NK.serikali ilifanyie kazi hili.View attachment 854345
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku tunaita, GologoshoHahahah hilo huku mtaani tunaliita dubwi watu wanaliwa hela hatari
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee we jamaa hatari umetafuta materials adimu kweli kweli hii serikali inakotupeleka noma sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaani mkuu unakuta mtu tena BIKO au TATU MZUKA inatangazwa serious news hours tangazo kabla ya Taarifa ya habar na mwisho, yaani huwa nabadili channel kwa kukereka.For sure people are not serious, ndio maana raia eanapiga kelele kuhusu Biko na Tatu mzuka but no one cares!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni huzuni kubwa kwa TaifaWatu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Mnawatoa vijana kwenye madawa ya kulevya mnawatengenezea ajira ya kubet,tatu mzuka,biko nk.
Sent using Jamii Forums mobile app
KwinyoooHahahah hilo huku mtaani tunaliita dubwi watu wanaliwa hela hatari
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo machine ya mchina inaitwa kodokodo,watu wanaliwa mpaka wanaweka rehani mavazi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni utekelezaji wa ilani ya CCM na sehemu ya mapato, lakini kwa kufanya Taifa la Wapumbavu waliopumbaa, ni sikitiko kuuAisee we jamaa hatari umetafuta materials adimu kweli kweli hii serikali inakotupeleka noma sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa usishangae siku moja waziri wa viwanda akitoa taarifa akasema hayo makopo ya kamari ni viwandaWatu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Mnawatoa vijana kwenye madawa ya kulevya mnawatengenezea ajira ya kubet,tatu mzuka,biko nk.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huki wanaliita bonanza.