Janga jipya: Mashine za wachina

Janga jipya: Mashine za wachina

muhala.jr

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2014
Posts
751
Reaction score
659
Tujadil hili..kumekua na ongezeko la machine za wachina seemu mbalimbali mitaani husasan mjini DSM (cjui mikoan)..machine hizi ni zile za kuweka coin za miambili..tulizoea hizi kua seemu za staree ambapo si rahis kwa watoto kufika lakin ss zimetapakaa Karbu Kila Kona Na wachezaj wakubwa ni watoto chini ya miak18 kinyume Na katakwa ya sheria.je vyombo husika awalioni hili?? Hata Kama Kodi Basi tutazakisha taifa lijalo la wakamaria tuu.tukianza na beting machine,biko,tatu mzuka NK.serikali ilifanyie kazi hili.
IMG_20180902_130151.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tujadil hili..kumekua na ongezeko la machine za wachina seemu mbalimbali mitaani husasan mjini DSM (cjui mikoan)..machine hizi ni zile za kuweka coin za miambili..tulizoea hizi kua seemu za staree ambapo si rahis kwa watoto kufika lakin ss zimetapakaa Karbu Kila Kona Na wachezaj wakubwa ni watoto chini ya miak18 kinyume Na katakwa ya sheria.je vyombo husika awalioni hili?? Hata Kama Kodi Basi tutazakisha taifa lijalo la wakamaria tuu.tukianza na beting machine,biko,tatu mzuka NK.serikali ilifanyie kazi hili.View attachment 854345

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usipate shida
IMG_20180726_150916.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uku kwetu linaitwa Dubu, unaweza liwa almost laki2 kwa wiki siku ukija kulila unakula elfu60 unajiona bingwa na unaanza kutamba.

Serikali ikistuka ni too late vijana watakua kwenye hali ya 'usonji'
 
Hilo korokoro mtaani nimeshuhudia jamaa kaweka rehani boxer yaan pikipiki safi ili acheze hilo dude, kaliwa akakosa hela ya kukombolea boxer yake ikaenda kama utani kwa laki nne na nusu tu, sasa hivi anadandia pikipiki za watu kupeleka wateja...

Haya makorokoro yanafilisi watanzania though serikali inapata kodi yake ila ni janga kubwa la kitaifa... Nashukuru Mungu sijawahi hata kulisogelea karibu zaidi ya kuliona kwa mbali na namna vijana wanavyopoteza mali zao kizembe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom