muhala.jr
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 751
- 659
- Thread starter
- #21
Wamesema wateja wengi ni watu chini ya miaka 18Janga sio hizo machine bali hao wanaozicheza.Kama jamii haijitambui unategemea nini.ukiona kizazi kinaendekeza kamari jua kuna shida mahali.
Sent using Jamii Forums mobile app
For sure people are not serious, ndio maana raia eanapiga kelele kuhusu Biko na Tatu mzuka but no one cares!!
Wavhina wanapita kila siku na Harrier na ndoo wanakusanya pesaHahahah hilo huku mtaani tunaliita dubwi watu wanaliwa hela hatari
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya yanapaswa kuwekw seemu maalumuHatar. Maana watoto watakuwa wezi ili wapate hela ya kwenda kuchexea hayo. Na watakuwa hawafiki shule watakuwa wanaishia njian kwenda kuchexa hayo.. serikalo isiyafumbie macho hayo.. sheria ifate mkondo wanayoyamiliki wafungiwe biashara zao na wanyang'anyanywe leseni za biashara na kuchukuliwa hatua kali sana..
Nipe sababu mkuu tujue.mm Jana usiku nimeona watu wamepigana chupa Na kupasuana wakigombania Mia mbili 3 yan jumla Mia sita tuuuu ili watumbukize umokwakweli ilo dude ni janga la taifa.apanilipo ninakesi sijaimaliza mahakamani kisa ni ilo dude.anaetakakujua sababu ya kunipa kesi ilo dude aulize tu nami nitamjibu....
Hivyo ni viwanda nyie mnaleta blah blahHahahaaa, huku linaitwa Gorilla. Watoto, watoto ndio wateja wakubwa, yajayo yanasikitisha.
Sent using Jamii Forums mobile app