Jana refa katunyima penalt

Ushindi wao kwa asilimia kubwa unategemea marefa tu. Ndio maana kwenye game za champions league hawafikagi mbali . kwa trend tu ya kutoka mwaka jana naanza kuhisi hata ubingwa wa miaka ya nyuma walikuwa wakiuchua kiivyo.
Trust me kama timu yanga ingenyimwa zile penaiti leo bongo ingekuwa haitoshi.
Naunga mkono hoja mkuu na uzuri malipo ni hapahapa huenda wakanyimwa penati next game utawaona watakavyogeuka mbogo
 
Nawapongeza yanga kwa ushindi wa jana lakini nawakumbusaha tu kuwa jana refa alitunyima penati halali kabisa beki wa yanga aliunawa mpira ndani ya box

Wachambuzi (takataka) wamenyamaza kimya kama sio penati vile badala yake wanazungumzia tukio la linesman kuingia uwanjani wakti ni kitu halali kwa sheria za mpira za FIFA

Hatujamlalamikia refa wala kuwalaumu tff nawaomba na nyie muwe wapole kwa tukio kama hilo likiwatokea
Ndo tatizo la wabongo mtu umelalamika halafu mwisho unasema hulalamiki😅😅

Kunywa maji mengi mkuunduguyangu😜
 
Ndiyo maana hata kimataifa wanakuwaga mikia maana huko marefa hawawabebi hata nukta
Ndio mkuu hawa wanabebwa sana na ndio maana huko kwenye mataifa anaejulikana ni simba. Nikijaribu kutrace ni kuanzia goli la mkono la tambwe, penaiti ya tuisilia kufanyiwa faulo nje ya kuminane round ya kwanza na hata jana refa kapeta penaiti mbili za simba.
NAOMBA VIONGOZI WA SIMBA WAANGALIE SANA HAYA MATUKIO YA MAREFA KUIBANIA SANA SIMBA INAPOCHEZA DABI HILI SWALA SIO DOGO MAANA NI KAMA LIMEOTA MIZIZ SANA.
 
Nawapongeza yanga kwa ushindi wa jana lakini nawakumbusaha tu kuwa jana refa alitunyima penati halali kabisa beki wa yanga aliunawa mpira ndani ya box

Wachambuzi (takataka) wamenyamaza kimya kama sio penati vile badala yake wanazungumzia tukio la linesman kuingia uwanjani wakti ni kitu halali kwa sheria za mpira za FIFA

Hatujamlalamikia refa wala kuwalaumu tff nawaomba na nyie muwe wapole kwa tukio kama hilo likiwatokea
Wale sio wachambuzi ni wasaka TONGE/mkate wa siku through football kwa kivuli cha uchambuzi ..nakupa mfano
Jana nilikuwa nasikiliza kipindi cha sports extra kuna jamaa anaitwa farhani huyu msela aliulizwa sababu ya simba kufungwa basi eti yeye akasema anaona kukosekana kwa wachezaji ambao wana background /historia ya kuandaliwa na simba sc ndio sababu maja wapo

Jamaa alisema wachezaj walicheza hawana spirit wa kufahamu ukubwa wa derby ya kkoo ...nikajiuliza huyu mwamba amesahau yanga alipigwa 4 paale BWM stadium na foreigner players wengi walitupia magoli .....
Hawa jamaa ni makanjanja
 
Nawapongeza yanga kwa ushindi wa jana lakini nawakumbusaha tu kuwa jana refa alitunyima penati halali kabisa beki wa yanga aliunawa mpira ndani ya box

Wachambuzi (takataka) wamenyamaza kimya kama sio penati vile badala yake wanazungumzia tukio la linesman kuingia uwanjani wakti ni kitu halali kwa sheria za mpira za FIFA

Hatujamlalamikia refa wala kuwalaumu tff nawaomba na nyie muwe wapole kwa tukio kama hilo likiwatokea
Umeona tu hilo? Hukuona clutch ya Boko kipindi cha kwnz na alipaswa ale red card?

Refer alijitahidi kubalance sana lile game
 
Back
Top Bottom