Nyetk
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,648
- 1,696
Kwa vituko alivyonifanyia yule binti anayepashwa kunisafosha kichwa tu sasa naamini wanaume wengi sasa hivi salooni wanafuata mambo tofauti na kunyolewa. Hawa wake zetu wangejua yanayojiri huko saloon walahi mwenye uchungu na mzigo wake asingeuacha utinge hizi saloon alone.
"Kaka kaa hapa. Unafanya skraibu?" (Sijui ndo nini)
"Hapana, naosha kichwa tu." Halafu ukimwangalia analipaaa! Na mapozi ya kichokozi kibao!
Mara kang'ata kidole, kaanza kunipapasa kuanzia mabegani, shingoni hadi kaingiza vidole kwenye masikio yangu. "Ungefanya skraibu tu kaka, ona mafuta yalivyomengi kwenye pua." kanishika pua ananikamuakamua........
Mablazameni najua mnazijua hizi lugha, ebu tupeni mapana na marefu ya huma kwenye saloon zetu. Huwa zinawakera au zinawafurahisha?
"Kaka kaa hapa. Unafanya skraibu?" (Sijui ndo nini)
"Hapana, naosha kichwa tu." Halafu ukimwangalia analipaaa! Na mapozi ya kichokozi kibao!
Mara kang'ata kidole, kaanza kunipapasa kuanzia mabegani, shingoni hadi kaingiza vidole kwenye masikio yangu. "Ungefanya skraibu tu kaka, ona mafuta yalivyomengi kwenye pua." kanishika pua ananikamuakamua........
Mablazameni najua mnazijua hizi lugha, ebu tupeni mapana na marefu ya huma kwenye saloon zetu. Huwa zinawakera au zinawafurahisha?