Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
we huwa pale unaishiwa ujanja kabisa,yaani utaalam wanaotumia aisee kwa mpenzi wako huwezi pataKuna blazameni nikuta mdadi umempanda hadi anaunguruma utadhani yuko kwenye game kabisa!
we huwa pale unaishiwa ujanja kabisa,yaani utaalam wanaotumia aisee kwa mpenzi wako huwezi pataKuna blazameni nikuta mdadi umempanda hadi anaunguruma utadhani yuko kwenye game kabisa!
Halafu ukivitolea nje vinamindi kishenzi! Sasa unajua mablazameni wengi huwa tuna kaaibu ka kuwaudhi mademu hasa wazuri.
Kuanzia kesho marufuku kwenda kunyoa saloon ntakuwa napitisha wembe kichwa kizima masaji nnayokufanyia huridhiki nayo! lol una kiranga sasa wewe.
ha haaaaa, unaingilia kazi ya babu Asprin? ngoja aje uoneEbu nyanyua kwanza mikono juu niikague nikushauri.
Kwa vituko alivyonifanyia yule binti anayepashwa kunisafosha kichwa tu sasa naamini wanaume wengi sasa hivi salooni wanafuata mambo tofauti na kunyolewa. Hawa wake zetu wangejua yanayojiri huko saloon walahi mwenye uchungu na mzigo wake asingeuacha utinge hizi saloon alone.
"Kaka kaa hapa. Unafanya skraibu?" (Sijui ndo nini)
"Hapana, naosha kichwa tu." Halafu ukimwangalia analipaaa! Na mapozi ya kichokozi kibao!
Mara kang'ata kidole, kaanza kunipapasa kuanzia mabegani, shingoni hadi kaingiza vidole kwenye masikio yangu. "Ungefanya skraibu tu kaka, ona mafuta yalivyomengi kwenye pua." kanishika pua ananikamuakamua........
Mablazameni najua mnazijua hizi lugha, ebu tupeni mapana na marefu ya huma kwenye saloon zetu. Huwa zinawakera au zinawafurahisha?
Umeona, ee? Afu hujanipa hata ka-like baada ya kukujuza maadui zako.
hivi kwanini kwa boys zenu hamtoi huduma kama hizo
mmh...wananunaga sana...ili kukata mzizi wa fitna nilijifunza kunyoa na mashine nkanunua....na facial products tunashare.....
Last week nilikuwa Arusha kuna salon nikapelekwa maeneo ya sakina!kuna kabinti kanafanya massage hako watu wanajipigia mumo kwa mumo!katoto keupe kamelainika keupe ila huyo man alinialert kama katoto kameumia halafu ndo kanagawa kama pipi!..na kile kichumba huwezi zama na ndomu labda uwe mwenyeji sana!
Kwa vituko alivyonifanyia yule binti anayepashwa kunisafosha kichwa tu sasa naamini wanaume wengi sasa hivi salooni wanafuata mambo tofauti na kunyolewa. Hawa wake zetu wangejua yanayojiri huko saloon walahi mwenye uchungu na mzigo wake asingeuacha utinge hizi saloon alone.
"Kaka kaa hapa. Unafanya skraibu?" (Sijui ndo nini)
"Hapana, naosha kichwa tu." Halafu ukimwangalia analipaaa! Na mapozi ya kichokozi kibao!
Mara kang'ata kidole, kaanza kunipapasa kuanzia mabegani, shingoni hadi kaingiza vidole kwenye masikio yangu. "Ungefanya skraibu tu kaka, ona mafuta yalivyomengi kwenye pua." kanishika pua ananikamuakamua........
Mablazameni najua mnazijua hizi lugha, ebu tupeni mapana na marefu ya huma kwenye saloon zetu. Huwa zinawakera au zinawafurahisha?
Yallah!We unafikiri hao wako kwaajili ya kukuosha kichwa na kukufanyia scrub tu, wako kazini pia, kutafuta mabuzi na wala sio boyfriend au husband hasa, kuna salon moja ya kiume mitaa ya home, hao wadada wanaoajiriwa kuosha wateja vichwa, scrub, wana mawowowo mpaka basi, na hizi sehemu za massage siku hizi ndio usisema, nasikia ni kama madanguro tu humo ndani!
Ee bhana huwa ni bonge la raha we acha tu,hiyo skraibu sasa akianza mbona utaenjoy,ile tu anakupeleka kwenye chumba ndogo anakuuliza kama kuna huduma zingine unataka,aisee kwanza kuanzia huko mabegani,shingoni,unajikuta unasinzia aisee kitu ambacho hata sijafanyiwa na gf wangu
mmh...wananunaga sana...ili kukata mzizi wa fitna nilijifunza kunyoa na mashine nkanunua....na facial products tunashare.....
mkeo anajuakuwa unapenda 'kubinywa pua?'
kufanyiwa scrup?
Kuingizwa vidole masikioni?
Una uhakika huwezi kuzipata kwake?
Loh.......
Kwa vituko alivyonifanyia yule binti anayepashwa kunisafosha kichwa tu sasa naamini wanaume wengi sasa hivi salooni wanafuata mambo tofauti na kunyolewa. Hawa wake zetu wangejua yanayojiri huko saloon walahi mwenye uchungu na mzigo wake asingeuacha utinge hizi saloon alone.
"Kaka kaa hapa. Unafanya skraibu?" (Sijui ndo nini)
"Hapana, naosha kichwa tu." Halafu ukimwangalia analipaaa! Na mapozi ya kichokozi kibao!
Mara kang'ata kidole, kaanza kunipapasa kuanzia mabegani, shingoni hadi kaingiza vidole kwenye masikio yangu. "Ungefanya skraibu tu kaka, ona mafuta yalivyomengi kwenye pua." kanishika pua ananikamuakamua........
Mablazameni najua mnazijua hizi lugha, ebu tupeni mapana na marefu ya huma kwenye saloon zetu. Huwa zinawakera au zinawafurahisha?
Mkuu, unaweza kushtukia 'Loketo' ananyanyuka taratiiiiiibu kunako suruali! Wacha bana!
wewe umeenda na mawazo mawili mawili ndiyo maana,unatakiwa unamwambia nimekuja kufanya abcd hayo mengine sijayapangilia,ila ukifika ukaanza kufikiria na mambo mengine hizo nistarehe zako