Konkmaster JF-Expert Member Nov 18, 2018 360 291 Aug 24, 2019 #1 Hello wanajf utumwa ni janga la kujitakia kwa watu walio kata tamaa na maisha?
D Died JF-Expert Member Apr 19, 2019 255 141 Aug 24, 2019 #3 Hiyo ni kanuni tena ya kiuumbaji. Kila MTU ni mtumwa kwa nafsi yake. Utumwa unaanzia kwa muumba.
Konkmaster JF-Expert Member Nov 18, 2018 360 291 Aug 24, 2019 Thread starter #4 Died said: Hiyo ni kanuni tena ya kiuumbaji. Kila MTU ni mtumwa kwa nafsi yake. Utumwa unaanzia kwa muumba. Click to expand... Ni sawa na kusema mimi sinywagi pombe lambda niwe nimelewa!
Died said: Hiyo ni kanuni tena ya kiuumbaji. Kila MTU ni mtumwa kwa nafsi yake. Utumwa unaanzia kwa muumba. Click to expand... Ni sawa na kusema mimi sinywagi pombe lambda niwe nimelewa!