Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,799
Hili gazeti kila siku lina story mbaya ya CHADEMA
Hili kila siku lina sifa mpya kwa mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm Paul Makonda
Hili gazeti lipo kupambana na kila mpinzani wa serikali, juzi kati tumeona jinsi lilivyomuwashia moto MangeKimambi.
Je hili gazeti linamilikiwa na nani?
Hili kila siku lina sifa mpya kwa mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm Paul Makonda
Hili gazeti lipo kupambana na kila mpinzani wa serikali, juzi kati tumeona jinsi lilivyomuwashia moto MangeKimambi.
Je hili gazeti linamilikiwa na nani?