Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 12,837
- 39,705
sema chochote mkuu😃😃😃
sema chochote mkuu😃😃😃
Kwanza walokole wanaijua ya kulaliana kwa juu tusema chochote mkuu
wape baraka zako mkuu hayo mengine watajuana wenyewe 😃😂😂😂😂Kwanza walokole wanaijua ya kulaliana kwa juu tu
Wataachana tuafu wewe
View attachment 2643408
وينيمطوينثنيوطوطوسوسو'ىمم
Una viganja vizuri....... Hizi ahadi zako hizi mmmmh. Anyway kila la kheri.
Najua ndoa zina changamoto, najua mume wangu mtarajiwa atakuwa na madhaifu yake, najua kuna siku za kulia na siku za kucheka najua kuna siku tutapata na kuna siku tutakosa najua kuna mengi mazuri na mabaya yatajitokeza ila hata itokee nini kamwe sitafanya yafuatayo;
1) Sitamcheat hata akipoteza dushe yake.
2) Sitamdharau hata akikosa uwezo wa kunipa jero.
3) Kamwe sitajiona nina akili kumshinda.
4) Kamwe sitapaza sauti yangu ninapoongea nae.
5) Kamwe sitonyanyasa watoto wake ambao mama yao amefariki, kwani tayari nawapenda na wao wananipenda kama nimewazaa mimi.
Kwa mnaonipenda naombeni mniage kwa neno zuri la ushauri.
Joannah Half american Gily
I CAME, I SAW, I CONQUERED.
🤣🤣🤣🤣🤣🤸🤸
Ndo uhalisia uliopo unless iwe Chai ya mchaichaiNina wasiwasi na ndoa yake .Amekiri kuwa moyo wake uko kwa mgweno,lakini anataka kuolewa na mtu mwingine .Akikutana na stress kidogo tu atamtafuta mgweno ampoze.Ningekuwa mimi ndiye muoaji maneno yake haya tu yangetosha kuvunja uhusiano.
😂😂Mbona huu ni utoto sasaChai hii mkuu. Kuna wimbi kubwa la hizi chai especially kwenye jukwaa la “mahusiano na mapenzi”
Sijui ni kwasbabu ya kupata “likes”?!
Nipo hapa hata usiweke bangoSoon nakuja kutangaza bango la kutafuta mume.sikuwahi kujua kama ni rahisi namna hii🥸
Ndugu Mtanzania mwenzangu wacha niweke bango ili upinzani uwe mkubwa🤪🤪🤪Nipo hapa hata usiweke bango
😂😂😂Una uhakika kwa jinsi ulivyo unaweza fanya wanaume tufanye competition aknNdugu Mtanzania mwenzangu wacha niweke bango ili upinzani uwe mkubwa🤪🤪🤪