Hammy Js
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 3,053
- 3,268
Ana akili sawasawa huyu?![]()
![]()
Usiombe fumanizi,akili timamu zinahama
ukifumaniwa nguvu zote huwa zinaisha hata kukimbia huwezi, sijui huwa zinaenda wapi yani unakua mduchu kama pilitonDuh me nimevamia tu uzi mkuu, shukran kwa mfilisti
Hizi picha za mwisho ndio mnaniacha hoi
Kudadadeki....hadi nimesisimka
Kudadadeki....hadi nimesisimka
Acheni tu nibaki AfricaMmmnhuuu
Sina mwaya....toto la kitanga hunaga hiyana
Dushe kubwa na pesa ni kama samaki na maji....vinaenda sambambaunataka kubwa, vipi pesa?
Dushe kubwa na pesa ni kama samaki na maji....vinaenda sambamba
Hahahanina rafiki yangu kijana kiasi anasaka toto la kitanga lenye buti la maana, mshiko mrefu anao sana
Hahahahahaaaaaaa...Acheni tu nibaki Africa
Wanaume zetu wana 'mitwangio' ya maana.
Sijui wanawake wenzangu wanawapendea nini hao damu nyeupe
wala sikutegi naunganisha siriazHahaha
Unanitega au?
Alafu hiyo ni photoshop tu watu walitengeneza. Ngoja nikuletee picha halisi. Haters wa Liverpool walitengeneza hiyo shitKudadadeki....hadi nimesisimka
Dah!!!Alafu hiyo ni photoshop tu watu walitengeneza. Ngoja nikuletee picha halisi. Haters wa Liverpool walitengeneza hiyo shit