BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Wezi hao cheza nao mbali kabisa. Hawakawii kukwambia ile milioni 15 yako tutakupa 1.5 million tu TUMEFILISIKA. Unaweza kulia kilio cha mbwa mdomo juu. Milioni 13.5 ndiyo bank washaikwapua.
Eeeh mwanangu mtaji unakua.... capital ya maana halafu saving nafanya kwenye international banks maana banks zetu ndio vile e tena